Mag3
Platinum Member
- May 31, 2008
- 13,064
- 22,757
Hauko Tanzania, kama uko Tanzania chadema wana wabunge wa 5 CUF wanawabunge 19...is 19>5? ushabiki mwingine aibu kuwa great thinker???
Talk of the absurd !
- Kulingana na takwimu za uchaguzi 2005, wabunge 5 wa Chadema walichaguliwa na jumla ya wapiga kura karibu 900,000 kwa wastani wa wapiga kura karibu 200,000 kwa kila mbunge.
- Wabunge 19 wa CUF walichaguliwa na wapiga kura karibu 200,000 kwa wastani wa wapiga kura elfu kumi kwa kila mbunge.