Mwanajamii
JF-Expert Member
- Mar 5, 2008
- 7,063
- 68
Hii ilikuwa ni kauli ya mh.Mbowe katika uzinduzi wa kampeni za chama chake pale leganga.
pia alisema wabunge wa CCM ni weupe ie hawana kitu upstair.
My take:Mbowe ni kiongozi mkuu wa kitaifa mwenye heshima lakini ametumia nafasi ya kulihutubia taifa kutoa matusi,dhidi ya wabunge wenzake.
Nategemea wabunge wa CCM aka magamba wajibu hizi kauli kesho,hasa wabunge wa mkoa wa arusha na mwigulu nchemba madelu.
pia alisema wabunge wa CCM ni weupe ie hawana kitu upstair.
My take:Mbowe ni kiongozi mkuu wa kitaifa mwenye heshima lakini ametumia nafasi ya kulihutubia taifa kutoa matusi,dhidi ya wabunge wenzake.
Nategemea wabunge wa CCM aka magamba wajibu hizi kauli kesho,hasa wabunge wa mkoa wa arusha na mwigulu nchemba madelu.