ni joseph selasini wa rombo. lengo lilikuwa kujiepusha na lawama za kumbeba mramba mwenye kesi ya ufisadi. mramba alikuwa mshindi halali wa jimbo la rombo
huko vunjo nako mshindi halisi alikuwa mrema wa chadema ila ccm iklimsaidia mrema wa tlp ili kumshukuru kumuunga mkono jk waziwazi na kuonyesha kuwa chadema sio tishio katika majimbo mengi kama inavyoaminiwa
huko vunjo nako mshindi halisi alikuwa mrema wa chadema ila ccm iklimsaidia mrema wa tlp ili kumshukuru kumuunga mkono jk waziwazi na kuonyesha kuwa chadema sio tishio katika majimbo mengi kama inavyoaminiwa