figganigga
JF-Expert Member
- Oct 17, 2010
- 25,492
- 54,890
Mlinga aliituhumu BOT kujifanya kuwa ni idara nyeti sana kuliko usalama wa taifa na idara nyingine za Serikali hivyo wao kutibiwa nje.
Spika amesema kam kuna ukweli ataishauri mamlaka kuchukua hatua stahiki dhidi ya Bodi na menejimenti ya Benki Kuu (BOT).
Spika wa Bunge, Job Ndugai ameiagiza Kamati ya Bunge ya Hesabu za Serikali (PAC) kukaa Bodi ya Benki Kuu ya Tanzania (BOT), Shirikia la Taifa la Bima ya Afya (NHIF) kuchunguza hoja iliyoibuliwa na Mbunge Gooluck Mlinga kwamba BOT hawajajiunga na NHIF na wao wanatibiwa nje ya nchi.
Spika amesema kam kuna ukweli ataishauri mamlaka kuchukua hatua stahiki dhidi ya Bodi na menejimenti ya Benki Kuu (BOT).
Spika wa Bunge, Job Ndugai ameiagiza Kamati ya Bunge ya Hesabu za Serikali (PAC) kukaa Bodi ya Benki Kuu ya Tanzania (BOT), Shirikia la Taifa la Bima ya Afya (NHIF) kuchunguza hoja iliyoibuliwa na Mbunge Gooluck Mlinga kwamba BOT hawajajiunga na NHIF na wao wanatibiwa nje ya nchi.