johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 83,901
- 141,837
- Thread starter
- #21
Chadema maslahi!nyie ndiyo nani?
Chadema maslahi!nyie ndiyo nani?
Kigezo namba moja cha kuwa polisi ni kufeli.Hivi kuna polisi ambaye walau alipata div. IV ya mwanzo
kwanini MATAGA mna nyege sana na Chadema na Mbowe lakini?Chadema maslahi!
Why viongozi wetu ni walevi na wanajisikia kusema ni wakevi kwa wapiga kura wao . Kunywa ni lazima mtu uwe mlevi?Akizungumza katika kipindi cha Medani za Siasa kinachorushwa na luninga ya Star mbunge wa Bukoba mjini mh Lwakatare amesema Mbowe ni rafiki yake mkubwa na hata juzi alimsindikiza hadi Air port wakati anahamishiwa Dsm kwa matibabu.
Kuhusu wabunge wa CCM na Spika kuamini kuwa Mbowe alianguka baada ya kulewa Lwakatare amesema wabunge wote ni " walevi" hivyo yeye asingependa kuzungumzia habari za mitaani ambazo hazina uhakika bali anawasihi watanzania wasubiri ripoti ya vyombo vya uchunguzi.
Maendeleo hayana vyama!
Kuhusu majirani kuto kusikia kelele kuna Waziri wa Nigeria Dikko aliwahi kuibiwa huko London na kufichwa kwenye box na kutaka kusafirishwa kurudishwa Nigeria kama fridge mpaka alipo gundulika box likiwa Kiwanja cha ndege nyie ccm acheni janja ya nyani mambo ya kizamani hayoIle report imejaa Usanii na Upotoshaji MKUBWA. Polisi wanasema Majirani hawakusikia kelele za mtu kuvamiwa/ kushambuliwa na Mhe. alikuwa amelewa CHAKARI!
Hapa hakuna weledi wowote ulotumika zaidi ya maoni ya Wabunge wa CCM Bungeni
Kuwa chakari haiwezi kuwa ndiyo kigezo Cha mtu KUUMIA kwa kuanguka. Je, Raia hawezi kushambuliwa akiwa chakari?
Lakini pia K Polisi hawajatueleza Mhe. Mbowe alikuwa amekunywa aina gani ya kilevi? Je, haiwezekani akawa akitiliwa kilevi Maalumu(madawa ya usingizi au kulevya)?
Mbona Mzee Mangula walisema kanyweshwa SUMU na mpaka sasa hawajatuambia Ni sumu gani na Nani alimwekea kwenye chakula au kinywaji?
Acheni Umafia wa kizamani Ummar Dikko Nigeriaan former Ministry in Londorn kidnappingIssue si ulevi wa Mbowe bali ni kuteleza na kuanguka kwa ulevi wake wa Faru John halafu anasingizia eti kavamiwa na kupigwa
Hapa America bunge linaenda kuongeza mda wa matunzo ya upolisi toka miezi 6 hadi miaka miwili ili Polisi wapate mafunzo bora na kama Polisi hajasoma atasoma humo humo automatic, huko nyumbani Tanzania napo Bunge liongeze mda wa kupata mafunzo ya upolisi kule ccp Moshi toka miezi 5 hadi miaka 3 wapate kujifunza hata English vizuri masomo ya Sheria haki za binadamu, wale darasa la saba, form 4 div 4 wote wakisoma ccp miaka 3 wakimaliza wanakuwa Polisi wazuri na wasomi wa Sheria na haki za binadamu, ni mda huu CCM waanze kulifanyia kazi iongezwe bajeti ya mafunzo na pia vyuo vya Polisi viongezwe zaidi kuwepo na chuo kikuu cha upolisi pia.All Policemen are Form IV failures!!! The Majority of them ni Div IV za Mwisho kabisa au Div 0!!!🤣🤣
Mafunzo ya Polisi sasa yawe miaka 3 ili Polisi wapate Elimu wakiwa kwenye mafunzo ya upolisi, hapo tutawapata Polisi wazuri wenye kujali haki za binadamu wasiopenda kufanya uonevu kwa RaiaAll Policemen are Form IV failures!!! The Majority of them ni Div IV za Mwisho kabisa au Div 0!!!🤣🤣
Majirani walikuwa wamelala isitoshe washambuliaji walifanya kitendo kwa kasi na walivaa mask usikute hata ni jarani zake humo humo hao hao wabunge wakorofi akina Lijuakali na Msukuma ndiyo walienda kumpiga mbowe, inaonekana hata washambuliaji siyo watu wenye mafunzo na nguvu nyingi hivyo kupelekea kuwa na uwezekano wa shambulio kufanywa na lijuakali na wenzake kisha wakatokomea majumbani mwaoKuhusu majirani kuto kusikia kelele kuna Waziri wa Nigeria Dikko aliwahi kuibiwa huko London na kufichwa kwenye box na kutaka kusafirishwa kurudishwa Nigeria kama fridge mpaka alipo gundulika box likiwa Kiwanja cha ndege nyie ccm acheni janja ya nyani mambo ya kizamani hayo
Aliyempiga mbowe ni lijuakali na Msukuma na mwanzao mmoja ambao walivaa mask asiwajue, ukichunguza shambulio unagundua lilifanywa na watu wasio na mafunzo ya uhalifu wala nguvu nyingi na pia walishambulia kwa hataka na uoga mwingi wakakimbia wasijulikane lakini sasa FBI waliopo ubalozi wa marekani walituma wapelelezi kwa siri huko Dodoma tayari wamewabaini washambuliaji wote.Akizungumza katika kipindi cha Medani za Siasa kinachorushwa na luninga ya Star mbunge wa Bukoba mjini mh Lwakatare amesema Mbowe ni rafiki yake mkubwa na hata juzi alimsindikiza hadi Air port wakati anahamishiwa Dsm kwa matibabu.
Kuhusu wabunge wa CCM na Spika kuamini kuwa Mbowe alianguka baada ya kulewa Lwakatare amesema wabunge wote ni " walevi" hivyo yeye asingependa kuzungumzia habari za mitaani ambazo hazina uhakika bali anawasihi watanzania wasubiri ripoti ya vyombo vya uchunguzi.
Maendeleo hayana vyama!
epistemology........science of knowledge.... completely devoid of anything in the headNdio maana Magu huwa anawapa vyeo Wabunge wa upinzani wanaohamia CCm maana was CCM wote ni tabula rasa! No offense intended
Ili aendelee kufunguwa kifuniko cha "FARU JOHN" kwa Mwenyekiti wa kudumu...Joyce Mukya amepita bila ya kupingwa kwny viti maalum Bunge la 2020~2025
kwa huu ushahidi, kwa nin usiende kuisadia police mkuu?Waliopiga mbowe usiku ule ni akina lijuakali na wenzake waliofukuzwa chadema, walimfuatilia toka akiwa huko alipokuwa na wakajua akifika pale atapanda ngazi wakamlia taiming wakampiga na kumsukumiza kwenye ngazi, shambulio linaonyesha kufanywa kwa uoga tena haraka haraka na watu wasio na uzoefu wa uhalifu, kwa uchunguzi wa awali washukiwa wakuu ni lijuakali na wenzake walivaa mask wakafanya huo uhuni ndiyo maana Bungeni wakawa busy kupotosha ili watanzania waamini mbowe alidondoka kwenye ngazi
Hii ripoti ya madaktari wa Agha Khan. Ikubalini makamanda.Akizungumza katika kipindi cha Medani za Siasa kinachorushwa na luninga ya Star mbunge wa Bukoba mjini mh Lwakatare amesema Mbowe ni rafiki yake mkubwa na hata juzi alimsindikiza hadi Air port wakati anahamishiwa Dsm kwa matibabu.
Kuhusu wabunge wa CCM na Spika kuamini kuwa Mbowe alianguka baada ya kulewa Lwakatare amesema wabunge wote ni " walevi" hivyo yeye asingependa kuzungumzia habari za mitaani ambazo hazina uhakika bali anawasihi watanzania wasubiri ripoti ya vyombo vya uchunguzi.
Maendeleo hayana vyama!
Wanataka ripoti atoe Mrema na siyo daktari aliyemchunguza.Ripoti ipi tena wakati ilishatoka. Na inaonyesha muheshimiwa alikuwa kapiga vitu vya Kitwanga.
Hawana viti maalumu safari hii. Wabunge wawili hupewi viti maalumu.Joyce Mukya amepita bila ya kupingwa kwny viti maalum Bunge la 2020~2025