Victoire
JF-Expert Member
- Jul 4, 2008
- 24,124
- 56,554
Nina mimba.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nina mimba.
Hakuwa na sababu ya kuichafua CHADEMA angesema nimeamua kuunga juhudi kutokana na kasi ya maendeleo yanayofanywa na awamu hii.
Kusema njaa tunakosea ,ukosefu wa hekima,Busara unahusika.
+utoto
Sent using Jamii Forums mobile app
Mtu pekee! Duuh, ndio maana kuna watu huwa wanashawishi viongozi wa siasa kujiongezea muda ulio kinyume na katiba zao!Chacha Wangwe ni mtu pekee alikuwa na ideas nzuri za kuipeleka Chadema to the next level.
Huu mfano haukuwa sahihi. Mandela aliwasamehe maafisa jela lakini sio serikali ya makaburi. Ndio maana hakujiunga na chama cha The National Party baada ya kuachiwa na alisimamia uundwaji wa the Truth and Reconciliation Committee ili ukweli ujulikane. Ndio maana Bulaya alimshauri aweke akiba ya maneno. Sio kwamba afiche madudu lakini asijisemee tu ili mradi anataka kukichafua chama chake cha awali.Ninajaribu kujiuliza sana, yani mfano wake wa Mandela na kusamehe.. Sasa inakuaje rahisi sana kusamehe watu ambao walimfunga na kumtesa na kumbambikizia kesi miaka yote hiyo, halafu asisamehe hawa ambao wamepishana tu mawazo? Hayo mambo ya mwenyekiti na kuteua katibu mkuu then wakurugenzi mbona ni kama kila chama kina fanya hivyo? Kama chama anajua kinategemea nguvu ya wanachapa kukijenga analalamika nini? Na hizo hela za uchaguzi anazo lalamikia, mbona uchaguzi haujafika bado? Pia, si angeweza tu kusubiri muda wake wa ubunge uishe na aombe tu kazi yoyote, kwa hizi wiki zilizobakia kulikua na haja gani ya kujipa haya mausumbufu yote? Hizo wiki 2 wenzake walio toka zina mabadiliko yoyote ya maana katika kuwawakilisha wananchi wake, tofauti na wenzake walio toka? Nna maswali meengi ningetamani kumuuliza kama ningekua mwana habari mmoja wapo.. Lakini itoshe kwa haya baadhi
Lijuakali - Akana kumuoa mtoto wa Spika Ndugai
Lijuakali - Akana kusema kuwa CHADEMA waliiba kura 2015 (Mada iliyoandikwa JamiiForums)
Lijuakali - Akana maneno ya Lissu kuwa hakumlipa hela, adai alimlipa milioni 20
Lijuakali - Amsifia Lissu anapokuwa anafanya kazi zake za uwakili
Lijuakali - Hata kama CCM wakimkataa, hatarudi CHADEMA
Lijuakali - Akizungumzia alichosema Bulaya kuhusu yeye kuwa aweke akiba ya maneno, auliza kuwa Bulaya anaogopa nini Lijuakali asiseme anachojua
Lijuakali - Kuhusu ripoti ya CAG: CHADEMA kilimkopesha sehemu ya ruzuku Mbunge akanunue gari, baada ya gari kununuliwa gari hilo likawa linatumiwa na chama , kwahiyo mbuge alipewa pesa na chama ili anunue gari ili chama kikwepe kodi
Lijuakali - CHADEMA waliwafuata kuwa chama kinataka kununua magari ila hakina hela, kwahiyo chama kikawaomba wabunge ambao hawajatumia exemptions zao kutumia exemptions hizo kununua magari ya chama ili kukwepe kulipa kodi
Jamaa kawapasua juzi waitara leo lijualikubwa mtasaga sana kwapa kwa wakati huuHuyu mtu ana uelewa mdogo sana, kazungumzia mengi, kawataja kina Msigwa na wengine watajibu wenyewe.
Hapa niongelee hili la yeye kuipinga hoja ya Chadema imemtoa mbali, anadai yeye na Chadema wote wametoana mbali, anasahau wakati Chadema imeanza harakati, yeye alikuwa hafahamiki popote na yeyote.
Nimuulize tu; kwanini aliamua kugombea ubunge wa jimbo lake kupitia Chadema na kuviacha vyama vingine vya upinzani?
Kama kweli anajiona yeye na Chadema ni nguvu sawa, kwanini asingegombea ubunge wa jimbo lake kupitia TLP au NCCR?
Na kama anajiamini ana nguvu, kwanini sasa hivi amekimbilia CCM akawe hata mfagizi, kwanini asiende kufagia TLP au Chaumma?!
Utaona wazi tu hapa kwamba, huyu jamaa anapenda kujitutumua, ila kwa kifupi ni mtu asie na shukrani, na asiejiamini, anajiona mwenye nguvu, ila anapenda kujiegemeza kwa ambavyo vimeshajengwa tayari na kusimama.
Kama kweli ana nguvu anazojinasibu anazo, atoke, aanzishe chama chake, halafu agombee ubunge tumuone.
Sent using Jamii Forums mobile app
IQ ndogo
Hana ushawishi
Anaongea huku wavaa suti nyeusi wametulia kwenye Gari nje pale.... Idiot
CCM iliondoka 1999 wamebaki mwezi tu
Huyu naye atulizane umehama chama sasa shida iko wapi?
Ulitaka aje akipige dekiHuyo si angojee tu majibu ya maombi yake ya kupiga deki pale Lumumba! Mbona kama anateseka saanaa
HakikaBila lijualikali huenda mpaka sasa chadema isingepata jimbo la kilombero Tulimchagua lijualikali sio kwasababu ya chama chake ni kwa sababu ya kujitoa kwake kabla hata hajawa diwani wa ifakara alikuwa anaushawish mkubwa ndani ya ifakara...Had chadema inachukua jimbo la kilombero lijua ameteseka sana so yupo sahihi kusema yeye na chadema wametoana mbali
Kuing'oa ccm kwenye jimbo waliloweka mizizi sio mchezo...Nakuahakikishia Chadema bila lijualikali isahau jimbo la kilombero Kwa sasa
Watu tunaamini mtu ukifikia level ya kutungua sheria yaani Mbunge basi unakomaa kifikra na kimtizamo kumbe utoto mtupu..
Wengine wanasema wanabakwa sijui anatomaswa maziwa..yaani mama mtu mzima kabisa unatunga sheria...unashikwa shikwa maziwa unatakaa miaka 5 kimya useless..useless!!
Sisi tunahangaika na hawa vipepeo wetu under 18, ala kumbe kuna mijipepeo mizee mijinga kabisa...
Hii ni aibu kubwa saana...aibu
Chadema hawana la kumfanyaChadema walimuona ni asset ndio maana wakamuachia. Kumbuka walitaka wamtose kabla wakazinduliwa na wenye jimbo.
Sent using Jamii Forums mobile app
We tulia tu kiongozi huyu hana muda mrefu atapotea vbaya mno. Huko anakofikiri anahitajika kunawababe pia. Ni jambo la muda tu coz hata km anasema chadema walikwepa kodi hivi hicho chama anachokiamini kimetupa hasara kiasi gani cha matrilion watanzania
Mkajibu mahakamani sio hapaUseless person, una akili kama jamaa yako ambaye hajukikani kama ni kijana ama mzee, hivi wewe unaweza kumnyanyasa kingono mtunga sheria za nchi...kweli ...una akili wewe?
Yaani anakutunga sheria na sheria anaijua kabisa sasa wewe zumbukuku ati umshikeshike maziwa yake bila bidhaa yake...mavii...