Mbunge Lijualikali atoa siri za CHADEMA; akana kumuoa mtoto wa Spika Ndugai

Hakuwa na sababu ya kuichafua CHADEMA angesema nimeamua kuunga juhudi kutokana na kasi ya maendeleo yanayofanywa na awamu hii.
Kusema njaa tunakosea ,ukosefu wa hekima,Busara unahusika.
+utoto

Sent using Jamii Forums mobile app

Na ameahidi kuwa akiguswa tena, basi ile formular ya fizikia (nimeisahau) ataitumia. Amewapiga mkwara akina Mbowe na Company.

Kijana anatisha huyu, kweli LUMUMBA watampa cheo tu. Kamwe nyanya haendi kulima.
 
Ninajaribu kujiuliza sana, yani mfano wake wa Mandela na kusamehe.. Sasa inakuaje rahisi sana kusamehe watu ambao walimfunga na kumtesa na kumbambikizia kesi miaka yote hiyo, halafu asisamehe hawa ambao wamepishana tu mawazo? Hayo mambo ya mwenyekiti na kuteua katibu mkuu then wakurugenzi mbona ni kama kila chama kina fanya hivyo? Kama chama anajua kinategemea nguvu ya wanachapa kukijenga analalamika nini? Na hizo hela za uchaguzi anazo lalamikia, mbona uchaguzi haujafika bado? Pia, si angeweza tu kusubiri muda wake wa ubunge uishe na aombe tu kazi yoyote, kwa hizi wiki zilizobakia kulikua na haja gani ya kujipa haya mausumbufu yote? Hizo wiki 2 wenzake walio toka zina mabadiliko yoyote ya maana katika kuwawakilisha wananchi wake, tofauti na wenzake walio toka? Nna maswali meengi ningetamani kumuuliza kama ningekua mwana habari mmoja wapo.. Lakini itoshe kwa haya baadhi
Huu mfano haukuwa sahihi. Mandela aliwasamehe maafisa jela lakini sio serikali ya makaburi. Ndio maana hakujiunga na chama cha The National Party baada ya kuachiwa na alisimamia uundwaji wa the Truth and Reconciliation Committee ili ukweli ujulikane. Ndio maana Bulaya alimshauri aweke akiba ya maneno. Sio kwamba afiche madudu lakini asijisemee tu ili mradi anataka kukichafua chama chake cha awali.

Amandla....
 
Mimi nawashangaa hawa vijana. Hapakuwa na haja ya kugeuza suala lao kuwa mpambano wao binafsi na Mwenyekiti. Wao wangetoka tu kama walivyojiunga na kuanza kupigia debe sera za chama chao kipya. Hii ya kushinda kurudia shutuma ambazo zimekuweko kwa miaka mingi hakuwasaidii kitu. Na kama kweli Mheshimiwa hakuandika ile taarifa ya kukiri kuwa alishinda ubunge wake kwa kuiba kura basi ajue hata huko anakoenda tayari ana watu wasiomtakia mema.

Amandla...
 
Hii kashfa TAKUKURU impandishe mbowe mahakamani
Lijuakali - Akana kumuoa mtoto wa Spika Ndugai

Lijuakali - Akana kusema kuwa CHADEMA waliiba kura 2015 (Mada iliyoandikwa JamiiForums)

Lijuakali - Akana maneno ya Lissu kuwa hakumlipa hela, adai alimlipa milioni 20

Lijuakali - Amsifia Lissu anapokuwa anafanya kazi zake za uwakili

Lijuakali - Hata kama CCM wakimkataa, hatarudi CHADEMA

Lijuakali - Akizungumzia alichosema Bulaya kuhusu yeye kuwa aweke akiba ya maneno, auliza kuwa Bulaya anaogopa nini Lijuakali asiseme anachojua

Lijuakali - Kuhusu ripoti ya CAG: CHADEMA kilimkopesha sehemu ya ruzuku Mbunge akanunue gari, baada ya gari kununuliwa gari hilo likawa linatumiwa na chama , kwahiyo mbuge alipewa pesa na chama ili anunue gari ili chama kikwepe kodi

Lijuakali - CHADEMA waliwafuata kuwa chama kinataka kununua magari ila hakina hela, kwahiyo chama kikawaomba wabunge ambao hawajatumia exemptions zao kutumia exemptions hizo kununua magari ya chama ili kukwepe kulipa kodi








Sent using Jamii Forums mobile app
 
Huyu mtu ana uelewa mdogo sana, kazungumzia mengi, kawataja kina Msigwa na wengine watajibu wenyewe.

Hapa niongelee hili la yeye kuipinga hoja ya Chadema imemtoa mbali, anadai yeye na Chadema wote wametoana mbali, anasahau wakati Chadema imeanza harakati, yeye alikuwa hafahamiki popote na yeyote.

Nimuulize tu; kwanini aliamua kugombea ubunge wa jimbo lake kupitia Chadema na kuviacha vyama vingine vya upinzani?

Kama kweli anajiona yeye na Chadema ni nguvu sawa, kwanini asingegombea ubunge wa jimbo lake kupitia TLP au NCCR?

Na kama anajiamini ana nguvu, kwanini sasa hivi amekimbilia CCM akawe hata mfagizi, kwanini asiende kufagia TLP au Chaumma?!

Utaona wazi tu hapa kwamba, huyu jamaa anapenda kujitutumua, ila kwa kifupi ni mtu asie na shukrani, na asiejiamini, anajiona mwenye nguvu, ila anapenda kujiegemeza kwa ambavyo vimeshajengwa tayari na kusimama.

Kama kweli ana nguvu anazojinasibu anazo, atoke, aanzishe chama chake, halafu agombee ubunge tumuone.

Sent using Jamii Forums mobile app
Jamaa kawapasua juzi waitara leo lijualikubwa mtasaga sana kwapa kwa wakati huu

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Bila lijualikali huenda mpaka sasa chadema isingepata jimbo la kilombero Tulimchagua lijualikali sio kwasababu ya chama chake ni kwa sababu ya kujitoa kwake kabla hata hajawa diwani wa ifakara alikuwa anaushawish mkubwa ndani ya ifakara...Had chadema inachukua jimbo la kilombero lijua ameteseka sana so yupo sahihi kusema yeye na chadema wametoana mbali

Kuing'oa ccm kwenye jimbo waliloweka mizizi sio mchezo...Nakuahakikishia Chadema bila lijualikali isahau jimbo la kilombero Kwa sasa
Hakika

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Amechoka kutapeliwa na matapeli ya siasa
Watu tunaamini mtu ukifikia level ya kutungua sheria yaani Mbunge basi unakomaa kifikra na kimtizamo kumbe utoto mtupu..

Wengine wanasema wanabakwa sijui anatomaswa maziwa..yaani mama mtu mzima kabisa unatunga sheria...unashikwa shikwa maziwa unatakaa miaka 5 kimya useless..useless!!

Sisi tunahangaika na hawa vipepeo wetu under 18, ala kumbe kuna mijipepeo mizee mijinga kabisa...

Hii ni aibu kubwa saana...aibu

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Lipeni kodi hii ni tuhuma kubwa sana
We tulia tu kiongozi huyu hana muda mrefu atapotea vbaya mno. Huko anakofikiri anahitajika kunawababe pia. Ni jambo la muda tu coz hata km anasema chadema walikwepa kodi hivi hicho chama anachokiamini kimetupa hasara kiasi gani cha matrilion watanzania

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Useless person, una akili kama jamaa yako ambaye hajukikani kama ni kijana ama mzee, hivi wewe unaweza kumnyanyasa kingono mtunga sheria za nchi...kweli ...una akili wewe?

Yaani anakutunga sheria na sheria anaijua kabisa sasa wewe zumbukuku ati umshikeshike maziwa yake bila bidhaa yake...mavii...
Mkajibu mahakamani sio hapa

Sent using Jamii Forums mobile app
 
17 Reactions
Reply
Back
Top Bottom