johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 83,878
- 141,811
Mbunge wa Kilombero mh Lijualikali alikuwa ni miongoni mwa wabunge wa Chadema waliohojiwa na Takukuru kuhusiana na matumizi ya fedha za chama.
Baada ya kuhojiwa mh Lijualikali aliongea na waandishi wa habari na kuwaambia mahojiano yake na Takukuru yamefanyika vizuri.
Zaidi akasema ana taarifa kuwa wabunge wa Chadema wamejipanga ili kutoa taarifa za uwongo na kumnusuru Mbowe.
Lijualikali ameapa kuwa wabunge hao hawatafanikiwa katika njama walizopanga.
Chanzo: Eatv habari
Maendeleo hayana vyama!
Baada ya kuhojiwa mh Lijualikali aliongea na waandishi wa habari na kuwaambia mahojiano yake na Takukuru yamefanyika vizuri.
Zaidi akasema ana taarifa kuwa wabunge wa Chadema wamejipanga ili kutoa taarifa za uwongo na kumnusuru Mbowe.
Lijualikali ameapa kuwa wabunge hao hawatafanikiwa katika njama walizopanga.
Chanzo: Eatv habari
Maendeleo hayana vyama!