Nduka Original
JF-Expert Member
- Nov 6, 2010
- 1,012
- 815
Aisee Lema mbona umetutosa washikaji zako hapa Arusha? Yani baana ya kula shavu tu ndo basi.
Kumbuka 2015 siyo mbali.
Kumbuka 2015 siyo mbali.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Amekutosa nini sasa! Mbona huna point, ulitaka akupe pesa kila mkikutana! Vijana wengine hopeless kabisa, kwa hiyo unamtisha Lema?Aisee Lema mbona umetutosa washikaji zako hapa Arusha? Yani baana ya kula shavu tu ndo basi.
Kumbuka 2015 siyo mbali.
Bado ajawatosa anajipanga muda unaenda na zile ahadi zake za kujenga Machinga Complex mbili na "Skyover" ndio anatafuta pesa!
Jk pia anatafuta pesa kama Lema, manake nae pia katutosa...Bado ajawatosa anajipanga muda unaenda na zile ahadi zake za kujenga Machinga Complex mbili na "Skyover" ndio anatafuta pesa!
Unataka akupe nini?CDM hawatoi tshirt,kofia wala mahindi..kama unahitaji hivyo hamia Magamba,cku nyngne usiandike upupu hapaAisee Lema mbona umetutosa washikaji zako hapa Arusha? Yani baana ya kula shavu tu ndo basi.
Kumbuka 2015 siyo mbali.
Aisee Lema mbona umetutosa washikaji zako hapa Arusha? Yani baana ya kula shavu tu ndo basi.
Kumbuka 2015 siyo mbali.
Mods upupu kama huu unadhalilisha hii forum.
Mkuu huyu ni gamba original, hakuna asiyemjua...Unataka akupe nini?CDM hawatoi tshirt,kofia wala mahindi..kama unahitaji hivyo hamia Magamba,cku nyngne usiandike upupu hapa
Aisee Lema mbona umetutosa washikaji zako hapa Arusha? Yani baana ya kula shavu tu ndo basi.
Kumbuka 2015 siyo mbali.
Nyumba haichomwi kwa maji ya moto, mikwara mingi kama nyapara anampiga mfungwa ili amalize ngwe yake!Unataka akupe nini?CDM hawatoi tshirt,kofia wala mahindi..kama unahitaji hivyo hamia Magamba,cku nyngne usiandike upupu hapa
mkuu pumzika maana usiku huu wote elf 2 tu itakutoa roho
Bado ajawatosa anajipanga muda unaenda na zile ahadi zake za kujenga Machinga Complex mbili na "Skyover" ndio anatafuta pesa!
Halafu dalili ya kulilia siyo nzuri, jenga hoja amekutosa nini?kama ni wewe ndo umetoswa ni sahihi kabisa. Lema hagawi ubwabwa kama mnavyofanya magamba.