BONGOLALA
JF-Expert Member
- Sep 14, 2009
- 16,507
- 11,883
Wana jf nimeiona shule ya mnazi mmoja-kichangani sumbawanga ktk tbc1 habari,kama kweli jk ni rais wa tanzania naomba aende huko rukwa akajionee kama kuna sababu ya kusherehekea miaka 50 ya uhuru ikiwa kuna shule za nyasi full suit,dawati ni miti,ubao ni bati duu mpaka mbunge wa jimbo la kwera kapagawa!