Katavi
Platinum Member
- Aug 31, 2009
- 41,983
- 12,701
Hivi sasa ndugu zangu hapa Sumbawanga wanalalamika kupata mbunge ambae hana elimu. Wanasema eti CCM ingesimamisha mtu aliye na elimu huenda wangepata angalau waziri hata mmoja ambae angeharakisha maendeleo ya mkoa.
Hivi sasa wanajuta kuichagua CCM eti kwa kigezo kuwa hakuna waziri hata mmoja kutoka mkoa wa Rukwa zaidi ya Pinda ambae hivi sasa yeye ni wa mkoa wa Katavi.
Pia wanatoa takwimu kabisa kuwa wilaya ya Mpanda anakotoka Pinda inaendelea haraka kuliko Sumbawanga.
Hivi kuna ushahidi wowote kuwa mawaziri wanapendelea majimbo yao???
Hivi sasa wanajuta kuichagua CCM eti kwa kigezo kuwa hakuna waziri hata mmoja kutoka mkoa wa Rukwa zaidi ya Pinda ambae hivi sasa yeye ni wa mkoa wa Katavi.
Pia wanatoa takwimu kabisa kuwa wilaya ya Mpanda anakotoka Pinda inaendelea haraka kuliko Sumbawanga.
Hivi kuna ushahidi wowote kuwa mawaziri wanapendelea majimbo yao???