Jeanclaude
JF-Expert Member
- Aug 30, 2013
- 259
- 237
Leo Jumapili mbunge wa Ubungo, Mh Said Kubenea alikuwa katika Kanisa la Askofu Gwajima. Nimeshangazwa Kubenea kutumia nyumba ya ibada kufanya siasa za vijembe, ajabu zaidi ni Askofu Gwajima kuruhusu mwanasiasa kutumia madhabahu kueneza propaganda za upande mmoja.
Kubenea tafuta majukwaa mengine mahususi kwa ajili ya siasa badala ya kutumia makanisa au misikiti. Kama unataka kujua chanzo fedha za kujenga makao makuu ya Bakwata mtafute mhusika usiende kumlilia Gwajima. Tazama kuanzia 2:35:00
Kubenea tafuta majukwaa mengine mahususi kwa ajili ya siasa badala ya kutumia makanisa au misikiti. Kama unataka kujua chanzo fedha za kujenga makao makuu ya Bakwata mtafute mhusika usiende kumlilia Gwajima. Tazama kuanzia 2:35:00