idawa
JF-Expert Member
- Jan 20, 2012
- 25,284
- 38,312
Mbunge wa jimbo la Ubungo Said Kubenea ametuma barua TCRA akilalamika kudukuliwa mawasiliano yake ya simu na watu wasiojulikana
Kubenea amesema watu hao wamekuwa wakifuatilia mawasiliano yake na Anthony Komu pamoja na Mwenyekiti wa Chadema mkoa wa Mbeya China Mwasote.
Kubenea amesema watu hao wamekuwa wakifuatilia mawasiliano yake na Anthony Komu pamoja na Mwenyekiti wa Chadema mkoa wa Mbeya China Mwasote.