Josh Michael
JF-Expert Member
- Jun 12, 2009
- 2,523
- 77
- Thread starter
- #41
Anaonyesha jinsi gani Watanzania walivyo na furaha mkuu wangu
Hata huyo Mao Zedong mwenyewe alikuwa anakoselewa, itakuwa Kiwete?
....jina la MTOTO lina maana nyingi sana yakhe!
kwa kiinglish hii inaitwaje,ili tupate jina fupi la presida wetu...kiswahili kimekuwa kirefu mno..
Vasco Dagama wetu bado yupo USA?[/QUOT
IBN BATUTA wetu alikwenda Venezuela walikoalikwa na Chavez!! Wadanganyika huku wanakufa na njaa yeye Batuta anafungua jengo la balozi Washington lililoghalimu billioni KUMI!! Kwa mtindo huu atakosaje kuchekacheka?
waliochukua hatua wana nia mbaya na Rais kwa upande mmoja lakini huyu mama naye ajifunze kuchagua maneno, yukohovyohovyo kwa kauli.
hivi kwa namna rais wetu anavyopenda ku smile smile.....anaweza kukaa kati kati ya Huku CHEVES ..huku AHMEDENAJAD..HUKU..ghadafi..huku..MORALES.. huku..KIM JONG IL...
au mmepata kumuona putin ..au ...medeyev wakicheka...
kwa majirani mmepata kuona kagame,museveni,kibaki au bingu wanacheka..???..viongozi ambao wanaweza kumkaribia jk kwa kucheka na kutake issues ize ni kama zuma,mswati ....sikumbuki mwingine....
hawa marais sijapata kuwaona wakicheka hata mara moja...sijui labda wakiwa chemba na wenziwao[ambao wala sijapata kuwaona ..kuacha cheves ambaye naomi campbell alijipeleka akalambwa...akaachwa]...nahisi jk akikaa kati kati ya hawa mabazazi wanaweza wakajaribu kutest zali..kama vipi!!
tuambizane bana zali gani hilo namimi nkatest?