Rugas
JF-Expert Member
- Jan 8, 2009
- 1,048
- 196
.....kwa kumppeleka mahakamani wamempa umaarufu..na hata wale wananchi waliokuwa hawajuwi kuwa jk ...ana jina lingine la "mchekajichekaji"...kama de.... basi wamejuwa...., bora wangekaaga kimya ....maana kila anapofikishwa mahakamani tutakumbushwa kuwa anafikishwa kwa kosa la kusema ukweli kuwa rais wetu amezidi kuchekacheka !!![[hata kwa issues serious]...ndio tatizo la kuchagua watu ambao muda wote wanafikiri wanatongoza!!
kwa kiinglish hii inaitwaje,ili tupate jina fupi la presida wetu...kiswahili kimekuwa kirefu mno..