silasc
JF-Expert Member
- Feb 10, 2013
- 3,348
- 1,982
Kwa mijadala mujarabu kama hii tunaomba mijadala ya Bunge iwe inarushwa mubashara kunako TV ili tujiliwaze.
Kwa mijadala mujarabu kama hii tunaomba mijadala ya Bunge iwe inarushwa mubashara kunako TV ili tujiliwaze.
Maana yake hata wavuta bangi wanajielewaNingesema "Bunge bange", lakini nahofia kuwafananisha wavuta bange na hawa wabunge kutakuwa ni kuwatukana wavuta bange.
Afu ni mpinzani sasa. Aibu iliyoje aisee.Yaani hapo ndo katoa hoja nzito na meza kuu eti inacheeeka........
NASKIA BADO KUNA WATU WANAULIZA NI NANI ALIETUROGA.