Mbunge kama huyu, ukiwaita baadhi ya wabunge wetu ni vilaza, utakuwa umewakosea?

Pascal Mayalla

Platinum Member
Sep 22, 2008
50,468
113,583
Wanabodi,

Kupitia bandiko hili,
Spika aagiza mwandishi Pascal Mayalla na Wahariri wa gazeti la Raia Mwema wahojiwe kwa kulidhalilisha Bunge

Nimesikia kuhusu kilichoendelea Dodoma, kwa vile bado sijapokea taarifa rasmi, naomba kwa sasa, nisijibu chochote kuhusu wito huo, ila hapa nina ka swali kadogo.

Kama Habari imeandikwa "Bunge Linajipendekeza?", halafu akatokea Mhe. Mbunge, akasoma headline tuu na kusema mwandishi na gazeti limeandika "Bunge Linajipendekeza", na kwenda moja kwa moja kuomba muongozo kwa kutumia ile statement tuu, bila ya ile alama ya kuuliza!.

Sasa Mhe. Mbunge wa aina hii ukimuita ni mbunge zuzu, au ni kilaza, je itakuwa ni kumuonea?, au ni kumkosea?.

Pascal
 

Attachments

  • Muongozo wa Mlinga.pdf
    59.8 KB · Views: 104
Vilaza wako wengi, ila hawataki kukubali. Kuna haja ya kuweka tafsiri sahihi ya hili neno ili kila mtu akiambiwa kilaza ajijumlishie mwenyewe na kupata jibu kabla ya kutoka povu. But i believe we have so Many Vilaza up there. Ndio maana wanatumbuliwa..
 
Wanabodi,

Kupitia bandiko hili,
Spika aagiza mwandishi Pascal Mayalla na Wahariri wa gazeti la Raia Mwema wahojiwe kwa kulidhalilisha Bunge
nimesikia kuhusu kilichoendelea Dodoma, kwa vile bado sijapokea taarifa rasmi, naomba kwa sasa, nisijibu chochote kuhusu wito huo, ila hapa nina ka swali kadogo.

Kama Habari imeandikwa "Bunge Linajipendekeza?", halafu akaibuka Mhe. Mbunge na kusema mwandishi na gazeti limeandika "Bunge Linajipendekeza". Mbunge wa aina hii ukimuita ni mbunge kilaza, jee itakuwa ni kumuonea?, ni kumkosea?.

Pascal
Pascal Mayalla, pole kwa masahibu yaliyokupata. Nasikia kuna mizizi mahali, ni mirefu zaidi. Huenda ndio ungependa hadi kwenye ulimwengu uliopo
 
Wanabodi,

Kupitia bandiko hili,
Spika aagiza mwandishi Pascal Mayalla na Wahariri wa gazeti la Raia Mwema wahojiwe kwa kulidhalilisha Bunge
nimesikia kuhusu kilichoendelea Dodoma, kwa vile bado sijapokea taarifa rasmi, naomba kwa sasa, nisijibu chochote kuhusu wito huo, ila hapa nina ka swali kadogo.

Kama Habari imeandikwa "Bunge Linajipendekeza?", halafu akaibuka Mhe. Mbunge na kusema mwandishi na gazeti limeandika "Bunge Linajipendekeza". Mbunge wa aina hii ukimuita ni mbunge kilaza, jee itakuwa ni kumuonea?, ni kumkosea?.

Pascal
Wabunge wa ccm 90% ni vilaza hao prof,phd holder wengi ni magumashi tu,heri prof lusinde ndio afadhali toka awamu hii iingie namuona ndio think tank wao mkubwa
 
Wanabodi,

Kupitia bandiko hili,
Spika aagiza mwandishi Pascal Mayalla na Wahariri wa gazeti la Raia Mwema wahojiwe kwa kulidhalilisha Bunge
nimesikia kuhusu kilichoendelea Dodoma, kwa vile bado sijapokea taarifa rasmi, naomba kwa sasa, nisijibu chochote kuhusu wito huo, ila hapa nina ka swali kadogo.

Kama Habari imeandikwa "Bunge Linajipendekeza?", halafu akaibuka Mhe. Mbunge na kusema mwandishi na gazeti limeandika "Bunge Linajipendekeza". Mbunge wa aina hii ukimuita ni mbunge kilaza, jee itakuwa ni kumuonea?, ni kumkosea?.

Pascal
Mkuu Pascal usitegemee Kibajaji akajua maana ya fungua semi, kiulizo na koma!.....ila cha kufurahisha umeshashinda hata kabla hujapewa hiyo barua ya wito.
 
Saizi hii nchi ukiandika ukwei wowote wa kuigusa Serikali au hata Bunge lazima uwe mashakani........nilichogundua saizi inatakiwa mtu uwe mpiga makofi wa kusifia tu kila kinachofanya na hawa jamaa pole mkuu Paschal!!
 
Wanabodi,

Kupitia bandiko hili,
Spika aagiza mwandishi Pascal Mayalla na Wahariri wa gazeti la Raia Mwema wahojiwe kwa kulidhalilisha Bunge
nimesikia kuhusu kilichoendelea Dodoma, kwa vile bado sijapokea taarifa rasmi, naomba kwa sasa, nisijibu chochote kuhusu wito huo, ila hapa nina ka swali kadogo.

Kama Habari imeandikwa "Bunge Linajipendekeza?", halafu akaibuka Mhe. Mbunge na kusema mwandishi na gazeti limeandika "Bunge Linajipendekeza". Mbunge wa aina hii ukimuita ni mbunge kilaza, jee itakuwa ni kumuonea?, ni kumkosea?.

Pascal
Nadhani wewe mkuu unatafuta 18 za watu, hivi hizo hela mnazohongwa muitukane/kuyumbisha serikali ni shs ngapi mpaka zinawafanya mkose uzalendo???? Nyie subirini siku hao mabwana zenu wakiona hamna impact ktk kuiyumbisha serikali kutokana na maandiko yenu hizo hela zitawatokea kila sehemu yenye tundu
 
Wanabodi,

Kupitia bandiko hili,
Spika aagiza mwandishi Pascal Mayalla na Wahariri wa gazeti la Raia Mwema wahojiwe kwa kulidhalilisha Bunge
nimesikia kuhusu kilichoendelea Dodoma, kwa vile bado sijapokea taarifa rasmi, naomba kwa sasa, nisijibu chochote kuhusu wito huo, ila hapa nina ka swali kadogo.

Kama Habari imeandikwa "Bunge Linajipendekeza?", halafu akaibuka Mhe. Mbunge na kusema mwandishi na gazeti limeandika "Bunge Linajipendekeza". Mbunge wa aina hii ukimuita ni mbunge kilaza, jee itakuwa ni kumuonea?, ni kumkosea?.

Pascal
Kaka Yangu PM ukienda usisahaua na vielelezo vya uraia wako
 
Pole sana Mkuu,nimeiona habar hyo mahali ikiwa imeambatanishwa na kazi yako (habar uliyoandika),lkn nilichogundua ni kuwa wao/yeye muhusika ameitafsir kazi hyo ktk angle ya kisiasa (jambo lolote hata kama lilikuwa ni jema likipata tafsir ya kisiasa linakuwa na maana potofu) kwa kuwa ww kwenye kazi yako umeuliza swali na hujalihukumu Bunge
 
Back
Top Bottom