mbunge yupo ndani ya gari au wapi?Kama hajali hata usalama wa mpiga kura wake!!!
Mkazi wa Iramba akijaribu kulinasua gari la Mh Mwigullu Lameck Nchemba lililokuwa limekwama kwenye mto Ndurumo Kata ya Kidaru Mkoani Singida.
Mbunge haaminiki, unaweza kukuta alilikwamisha makusudi ili awaache jamaa wanatoa gari ili yeye aende akapige kimoja cha haraka kwa mke wa kada mwenzie kama alivyofanya kule igunga. Mwigulu ni noumambunge yupo ndani ya gari au wapi?
Lipo barabara ya jimboni kwake, kaleta maendeleo ya kufa mtu aisee..................Na hapo lipo mtoni au ziwani? Maana nnavyopaona hapafai kuitwa barabara. Na ikiwa ni barabara yeye na chama chake waha haki ya kutueleza kwanini ipo hivyo
sasa huyo mwehu uko uvunguni ndio kaamua awe daraja gari la mbunge limpitie kwa juu?
Kweli watu wanajikomba
duu, mibongo isiyoelewa concepts za safety precautions.. yani huoni kwamba jamaa hakutakiwa kujiingiza chini ya gari kujaribu kunasua gari lililoko kwenye utelezi? halafu akidedi huko chini utasikia ooh "Mungu alimpenda zaidi."Sijaon connection ya mada yako na picha ikiyoweka!!!
Sasa ulitaka wasimsaidie?
Sijaon connection ya mada yako na picha ikiyoweka!!!
Sasa ulitaka wasimsaidie?
Je ingekuwa gari hilo ni lako na umo ndani ya gari ungefanyaje? Hebu ngoja kidogo...ahaaa, ungewaambia jamaa wote hapo wakanywe chai, kisha ungevua suti ubaki na bukta/chupi ulitoe gari peke yako eeenh?Kama hajali hata usalama wa mpiga kura wake!!!
Mkazi wa Iramba akijaribu kulinasua gari la Mh Mwigullu Lameck Nchemba lililokuwa limekwama kwenye mto Ndurumo Kata ya Kidaru Mkoani Singida.