Beatrice Kamugisha
JF-Expert Member
- May 18, 2019
- 762
- 6,980
Mhe.Kishimba amejenga hoja bungeni kuhusu umuhimu wa kutumia bangi Kama zao la biashara tofauti na Sasa linavyopigwa marufuku.
Amedai gunia la bangi kwa Sasa hapa Tanzania linanunuliwa kwa milioni nne wakati Zimbabwe linanunuliwa kwa dola elfu saba ambazo ni karibia milioni ishiria za Tanzania.
Amewataka wabunge na wananchi wafahamu kuwa dawa za usingizi zinatokana kwa kiasi kikubwa na bangi.
Amehoji Kama japani wanatumia bangi kwa kuvuta na bishara kwanini sisi tusikubali kuruhusu usafirishaji na ulimaji wa bangi.
Bangi soon inakuwa bidhaa halali
UPDATE:
Kishimba tena - Mbunge wa Kahama Mjini (CCM), Jumanne Kishimba ataka waliolima Bangi waruhusiwe kuiuza
Amedai gunia la bangi kwa Sasa hapa Tanzania linanunuliwa kwa milioni nne wakati Zimbabwe linanunuliwa kwa dola elfu saba ambazo ni karibia milioni ishiria za Tanzania.
Amewataka wabunge na wananchi wafahamu kuwa dawa za usingizi zinatokana kwa kiasi kikubwa na bangi.
Amehoji Kama japani wanatumia bangi kwa kuvuta na bishara kwanini sisi tusikubali kuruhusu usafirishaji na ulimaji wa bangi.
Bangi soon inakuwa bidhaa halali
UPDATE:
Kishimba tena - Mbunge wa Kahama Mjini (CCM), Jumanne Kishimba ataka waliolima Bangi waruhusiwe kuiuza