Clueless14
JF-Expert Member
- Aug 27, 2014
- 3,104
- 4,738
je na yule mkapa aliyesema Watanzania ni wapumbavu vipi na nyumbu
Mkapa hakukosea.
Watanzania ni wapumbavu kweli na wafata mkumbo kama nyumbu.
Mtu unamchaguaje Sugu awe mbunge wako? Au yule mwanamke aliedai anatamani kulia watu wanavyolazimjsha bunge live?! Tanga waliomchagua mganga wa kienyeji nao?
Wapumbavu wa hali ya juu.