PendoLyimo
JF-Expert Member
- Sep 30, 2014
- 878
- 955
Mbunge wa Jimbo la Singida Magharibi Mhe. Elibariki Kingu anaendelea na ziara jimboni ambapo Leo amekutana na Viongozi wa dini za Kiislam na kikristo zaidi ya 40 wa Kata ya Puma.
Viongozi hao wamesisitiza Masuala ya Amani, Upendo na Mshikamano na wamemuombea Dua Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan.
Viongozi hao wamesisitiza Masuala ya Amani, Upendo na Mshikamano na wamemuombea Dua Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan.