nimemuona na msukuma sijui atauliza swali gani la kitaalam manake hata definition ya tax haijuiYule hata maswali ya kijinga hana.
😂😂 yaani yale mavitabu na kabrasha zimeniacha hoi...kisanduku?Mh Jerry kaja na lundo la mavitabu makubwa yaliyo sababisha mwenyekiti wa kamati na wajumbe wake kupigwa butwaa kwa sekunde kadhaa. Sitashangaa haya mahojiano yakichukua wiki kwa muonekano wa maandalizi ya utetezi wa shaidi. Ndio ukute mwenyekiti alihepa umande, hapo sasa!
😂😂 yaani yale mavitabu na kabrasha zimeniacha hoi...kisanduku?
Maagizo ya Ndugai kuonyesha nguvu yake.Lakini wakati mwengine Katiba yetu inafikirisha. Tunaambiwa mbunge akiwa kwenye bunge au viwanja vya bunge askari hawatakiwi kumkamata. Tumeona askari wakiwasindikiza wabunge kama wanasindikiza wahalifu wastraabu.
DuhHuyu Mh na wabunge wengine nafikiri isitoshe kubeba vitabu kutengeneza sinema aliyo sema inatakiwa akimjibu shemeji yake kwenye korido za bunge. Waende mbele kumuonesha Spika thamani ya kura zao za kumuweka Spika kwenye kiti hicho. Wabadilishe hizo kura na heshima wanayoitegemea na kuistahili kutoka kwa Spika.
Unakijua kilichomfikisha Jerry kwenye Kamati?Jerry alikuwaga mtulivu enzi za JPM
Maagizo ya Ndugai kuonyesha nguvu yake.
Huyu sipika atamalizana vibaya Sana.
Mbunge wangu....
#KaziIendelee