Miss Zomboko
JF-Expert Member
- May 18, 2014
- 4,480
- 9,241
Mbunge Jimbo la Singida Kaskazini, Ighondo Ramadhan Abeid, ameiomba Serikali kupanua wigo wa kutoa Mikopo ili kuwafikia walioko kwenye Vyuo vya Ufundi ikiwemo VETA.
Amesema, sio kila Mwanafunzi anaweza kwenda Vyuo Vikuu hivyo wale wanaokwenda Vyuo vya Ufundi wawezeshwe kwani uzuri wao wanafundishwa na wanakwenda kufanya kazi moja kwa moja na kuweza kurudisha Mkopo.
Ameongeza kuwa, 'Graduates' wameshakuwa wengi na Serikali inashindwa kuwaajiri wote wamejaa tu mtaani.
Amesema, sio kila Mwanafunzi anaweza kwenda Vyuo Vikuu hivyo wale wanaokwenda Vyuo vya Ufundi wawezeshwe kwani uzuri wao wanafundishwa na wanakwenda kufanya kazi moja kwa moja na kuweza kurudisha Mkopo.
Ameongeza kuwa, 'Graduates' wameshakuwa wengi na Serikali inashindwa kuwaajiri wote wamejaa tu mtaani.