Mbunge huyu wa CHADEMA azidi kuimaliza CCM huko Iringa vijijini

politiki

JF-Expert Member
Sep 2, 2010
2,376
1,507
Kama wabunge wa chadema wangezama vijijini kama chiku abwao mbunge wa Iringa akiwa na
gari yake ndogo aina ya suzuki kwenye roof ikiwa imezungukwa na maspika na bendera za chadema.
mama huyu kazi yake ni moja tu nayo ni kuibomoa CCM Iringa vijijini na hasa eneo la Kalenga.
ningependa wabunge wa chadema wafuate nyayo za huyu mama waache siasa za maofisini na kuzama vijijini.

JEMBE LA CHADEMA HUKO KALENGA.
mbunge Chiku Abwao baada ya kazi nzito ya kujenga chadema vijijini leo


Wafuasi wa Chadema kata ya Luhota wakisukuma gari alilopanda mbunge wao Chiku Abwao leo


Matembezi ya kwenda kufungua ofisi ya kata ya Chadema kata ya Luhota jimbo la Kalenga leo



Mbunge Chiku Abwao akimwaga noti na bendera za Chadema kwa ajili ya kuchangia ufunguzi wa ofisi kata ya Luhota leo


Wananchi wakiandamana kwenda kufungua ofisi ya Chadema vijijini kwenye kata ya Luhota jimbo la kalenga wilaya ya Iringa vijijini leo



Gari la mbunge Chiku likisukumwa leo



Katibu wa chadema wilaya ya Iringa vijijini Felix Nyondo akimkaribisha mbunge Chiku Abwao leo
CHADEMA cha demokrasia na maendeleo (chadema) wilaya ya Iringa vijijini kimeanza kukibomoa chama cha mapinduzi (CCM ) baada ya aliyekuwa mwenyekiti wa jumuiya ya wazazi kata ya Luhota na mjumbe wa kamati ya utekelezaji CCM wilaya ya Iringa vijijini Sihuna Kapalampya kuhamia Chadema na kuwa mwenyekiti mpya wa Chadema kata ya Luhota .

picha hizi kwa hisani ya www.francisgodwin.blogspot.com mwandishi nguli huko Nyanda za juu kusini.
 
CHADEMA itoe maelekezo na kuwapangia malengo makatibu, viongozi wa ngazi za wilaya kufungua matawi vijijini, watu wanakosa hata sehemu ya kuchukulia kadi.
 
Hakika hii ni nzuri sana' naomba wabunge wengine waige mfano huu ili Chadema iwe na mtaji vijijini'
 
Ni wazo zuri sana. Mtaji wa kushika dola uko vijijini kunakolagaiwa wananchi kila mwaka kwenye chaguzi zetu nchini. Ni jukumu la chama chochote cha siasa kutembelea wananchi mahala popote pale na kuwaelimisha juu ya haki zao za uraia na uhuru wa kuchagua.

CHADEMA itoe maelekezo na kuwapangia malengo makatibu, viongozi wa ngazi za wilaya kufungua matawi vijijini, watu wanakosa hata sehemu ya kuchukulia kadi.
 
picha hazimpambi huyu mama, kwanza zinaonyeshwa anasukumwa kwenye gari (mrema, jairo), anagawa pesa (JK na wenzake), very minimal audience (nape), mkorogu umedunda (Anne Kilango malecela)

Lets share her success na sio picha ambazo ziko kama amepiga John Guninita
 
Kama wabunge wa chadema wangezama vijijini kama chiku abwao mbunge wa Iringa akiwa na
gari yake ndogo aina ya suzuki kwenye roof ikiwa imezungukwa na maspika na bendera za chadema.
mama huyu kazi yake ni moja tu nayo ni kuibomoa CCM Iringa vijijini na hasa eneo la Kalenga.
ningependa wabunge wa chadema wafuate nyayo za huyu mama waache siasa za maofisini na kuzama vijijini.

JEMBE LA CHADEMA HUKO KALENGA.
mbunge Chiku Abwao baada ya kazi nzito ya kujenga chadema vijijini leo


Wafuasi wa Chadema kata ya Luhota wakisukuma gari alilopanda mbunge wao Chiku Abwao leo


Matembezi ya kwenda kufungua ofisi ya kata ya Chadema kata ya Luhota jimbo la Kalenga leo



Mbunge Chiku Abwao akimwaga noti na bendera za Chadema kwa ajili ya kuchangia ufunguzi wa ofisi kata ya Luhota leo


Wananchi wakiandamana kwenda kufungua ofisi ya Chadema vijijini kwenye kata ya Luhota jimbo la kalenga wilaya ya Iringa vijijini leo



Gari la mbunge Chiku likisukumwa leo



Katibu wa chadema wilaya ya Iringa vijijini Felix Nyondo akimkaribisha mbunge Chiku Abwao leo
CHADEMA cha demokrasia na maendeleo (chadema) wilaya ya Iringa vijijini kimeanza kukibomoa chama cha mapinduzi (CCM ) baada ya aliyekuwa mwenyekiti wa jumuiya ya wazazi kata ya Luhota na mjumbe wa kamati ya utekelezaji CCM wilaya ya Iringa vijijini Sihuna Kapalampya kuhamia Chadema na kuwa mwenyekiti mpya wa Chadema kata ya Luhota .

picha hizi kwa hisani ya www.francisgodwin.blogspot.com mwandishi nguli huko Nyanda za juu kusini.

kazi nzuri
 
Kama wabunge wa chadema wangezama vijijini kama chiku abwao mbunge wa Iringa akiwa na
gari yake ndogo aina ya suzuki kwenye roof ikiwa imezungukwa na maspika na bendera za chadema.
mama huyu kazi yake ni moja tu nayo ni kuibomoa CCM Iringa vijijini na hasa eneo la Kalenga.
ningependa wabunge wa chadema wafuate nyayo za huyu mama waache siasa za maofisini na kuzama vijijini.

JEMBE LA CHADEMA HUKO KALENGA.




Mbunge Chiku Abwao akimwaga noti na bendera za Chadema kwa ajili ya kuchangia ufunguzi wa ofisi kata ya Luhota leo


picha hizi kwa hisani ya www.francisgodwin.blogspot.com mwandishi nguli huko Nyanda za juu kusini.

nadhani ni suala la kiungwana MTM kuchangia CDM hasa kwa huko vijijini ili kuipa uhai ofisi iliyofunguliwa. kumbuka hawakuwahi kuwa na ofisi huko, hivyo pamoja na kuwapa vifaa kama bendera, siyo vibaya kutoa na pesa kibao kununulia vitu kama viti, meza, benchi na mengine ya msingi.

Nzuri zaidi, pesa haijatolewa kwa kificho, bali imetolewa hadharani na inawezekana ilitangazwa inatolewa kwa lengo gani ili iwapo viongozi hao wataitumia vibaya, basi wawajibishwe kwa kufuja mali za chama

Ktk hili, sioni ubaya brother MTM
 
Thanks!!!!

nadhani ni suala la kiungwana MTM kuchangia CDM hasa kwa huko vijijini ili kuipa uhai ofisi iliyofunguliwa. kumbuka hawakuwahi kuwa na ofisi huko, hivyo pamoja na kuwapa vifaa kama bendera, siyo vibaya kutoa na pesa kibao kununulia vitu kama viti, meza, benchi na mengine ya msingi.

Nzuri zaidi, pesa haijatolewa kwa kificho, bali imetolewa hadharani na inawezekana ilitangazwa inatolewa kwa lengo gani ili iwapo viongozi hao wataitumia vibaya, basi wawajibishwe kwa kufuja mali za chama

Ktk hili, sioni ubaya brother MTM
 
..............ipi

ya kujenga chama vijijini, kwani kama unafuatilia, CDM hufanya vizuri mijini huku vijijini wakiangukia pua. sasa yeye ameenda kutangaza sera za chama vijijini, wanazengo waielewe. nasisitiza kazi nzuri ameifanya
 
Kama wabunge wa chadema wangezama vijijini kama chiku abwao mbunge wa Iringa akiwa na
gari yake ndogo aina ya suzuki kwenye roof ikiwa imezungukwa na maspika na bendera za chadema.
mama huyu kazi yake ni moja tu nayo ni kuibomoa CCM Iringa vijijini na hasa eneo la Kalenga.
ningependa wabunge wa chadema wafuate nyayo za huyu mama waache siasa za maofisini na kuzama vijijini.

JEMBE LA CHADEMA HUKO KALENGA.
mbunge Chiku Abwao baada ya kazi nzito ya kujenga chadema vijijini leo


Wafuasi wa Chadema kata ya Luhota wakisukuma gari alilopanda mbunge wao Chiku Abwao leo


Matembezi ya kwenda kufungua ofisi ya kata ya Chadema kata ya Luhota jimbo la Kalenga leo



Mbunge Chiku Abwao akimwaga noti na bendera za Chadema kwa ajili ya kuchangia ufunguzi wa ofisi kata ya Luhota leo


Wananchi wakiandamana kwenda kufungua ofisi ya Chadema vijijini kwenye kata ya Luhota jimbo la kalenga wilaya ya Iringa vijijini leo



Gari la mbunge Chiku likisukumwa leo



Katibu wa chadema wilaya ya Iringa vijijini Felix Nyondo akimkaribisha mbunge Chiku Abwao leo
CHADEMA cha demokrasia na maendeleo (chadema) wilaya ya Iringa vijijini kimeanza kukibomoa chama cha mapinduzi (CCM ) baada ya aliyekuwa mwenyekiti wa jumuiya ya wazazi kata ya Luhota na mjumbe wa kamati ya utekelezaji CCM wilaya ya Iringa vijijini Sihuna Kapalampya kuhamia Chadema na kuwa mwenyekiti mpya wa Chadema kata ya Luhota .

picha hizi kwa hisani ya www.francisgodwin.blogspot.com mwandishi nguli huko Nyanda za juu kusini.
..Kwenye kumwaga Mijihela hapo ndio pananipa utata..na hata hao wapokeaji walivyokaa mkao wa kusubiri!!..Anyway..Siasa si hasa!!
 
nadhani ni suala la kiungwana MTM kuchangia CDM hasa kwa huko vijijini ili kuipa uhai ofisi iliyofunguliwa. kumbuka hawakuwahi kuwa na ofisi huko, hivyo pamoja na kuwapa vifaa kama bendera, siyo vibaya kutoa na pesa kibao kununulia vitu kama viti, meza, benchi na mengine ya msingi.

Nzuri zaidi, pesa haijatolewa kwa kificho, bali imetolewa hadharani na inawezekana ilitangazwa inatolewa kwa lengo gani ili iwapo viongozi hao wataitumia vibaya, basi wawajibishwe kwa kufuja mali za chama

Ktk hili, sioni ubaya brother MTM
mtamaholo

wewe ni muungwana na nimekusoma... iwapo sisi wanaJF tungekua kama wewe, basi tungekua mbali sana

Nimeheshimu sana ushauri wako na kuukubali kabisa, pamoja na hayo nadhani sisi tusioishi iringa ni vyema tukaona madawati, matrekta, vocha za mbolea hazijaibiwa, mipango ya maendeleo iko wilayani na pia mihutasari ya vijiji inafanyiwa kazi vyema

You have earned my reputation and i pray that you live long to realise our dream
 
Back
Top Bottom