Mbunge huyu wa CHADEMA azidi kuimaliza CCM huko Iringa vijijini

Dahhhh!! Mh. Chiku kanikosha ile mbaya , muda wa mabadiliko ulishafika na watanzania wanaitaka nchi yaoooo.Makamanda hicho ndo tunachokitaka kwani vijijini hawa magamba fisadi ndo wanakopindishia matokeo.

Tukijikita huko kwa mfano wa Chiku 2015 tanzania ni ya watanzania wenyewe.Makamanda tokeni ofisini na tupige kambi vijiji vyote vya tanzania.


Hongera chiku ......................................,makamanda lets gooooooooooooooooooooo
 
kuna bifu la chini kwa chini kati ya Msigwa na Chiku na bango hili lina kazi "maalum" na nimemuona Msigwa katupia dongo lake kwa mbaaali. Hebu nijishindilie kande zangu miye!! kwa wale msiojua Chiku keshaanza kutengeneza mtandao wake wa mwaka 2015 ubunge Iringa Mjini ua Isimani hali ambayo imeleta tafrani kati yake na Msigwa. Ndiyo maana humu ndani kuna maneno kama "Isimani" au "Iringa Mjini' yamejitokeza tokeza.

ukweli unabaki palepale chiku abwao anapiga kazi kuliko msigwa... Huyo msigwa asilete masaburi yake aingie kazini sio kuuza sura mjini..
 
Si wakati wa kubeza juhudi binafsi kwenye hili. Napenda kuona hili linakuwa championed at all levels in the CDM. Hii itawapa nafasi ya ku-coordinate ili kuondoa repeat-ion na double works!!
 
DSCF7430.JPG


Katibu wa chadema wilaya ya Iringa vijijini Felix Nyondo akimkaribisha mbunge Chiku Abwao leo​

CHADEMA cha demokrasia na maendeleo (chadema) wilaya ya Iringa vijijini kimeanza kukibomoa chama cha mapinduzi (CCM ) baada ya aliyekuwa mwenyekiti wa jumuiya ya wazazi kata ya Luhota na mjumbe wa kamati ya utekelezaji CCM wilaya ya Iringa vijijini Sihuna Kapalampya kuhamia Chadema na kuwa mwenyekiti mpya wa Chadema kata ya Luhota .
 
Watu makini lazima wahamie chama makaini,hongera kwa kuchagua kilicho bora Tanzania.
 
DSCF7430.JPG


Katibu wa chadema wilaya ya Iringa vijijini Felix Nyondo akimkaribisha mbunge Chiku Abwao leo​

CHADEMA cha demokrasia na maendeleo (chadema) wilaya ya Iringa vijijini kimeanza kukibomoa chama cha mapinduzi (CCM ) baada ya aliyekuwa mwenyekiti wa jumuiya ya wazazi kata ya Luhota na mjumbe wa kamati ya utekelezaji CCM wilaya ya Iringa vijijini Sihuna Kapalampya kuhamia Chadema na kuwa mwenyekiti mpya wa Chadema kata ya Luhota .

Mhhhh! Anahama tu kisha anakuwa kiongozi? Beware na magamba!
 
tunaomba ofisa za CDM hapa ngara mjini mkoa wa kagera,kuna mashabiki wengi sana wanaosubiria kua wanachama kamili..ama nipeni mie mwongozo nifanye ntakacho kiweza.

,oyo wa kujitolea ndio utakaotufikisha pale tunapopahitaji
 
Go cdm go! Lakin imekuwa mapema sana kumpa uenyekiti! All da best.

Ndio mwendo wetu. Hata huyo Abwao alitoka kwa Mrema tukamkabidhi mikoba. Sometimes napata hofu kuwa tutajikuta tunafanya recycling style ya Kenya. Leo Odinga yuko KANU, kesho NARC, keshokutwa ODM....
 
Kazi nzuri kwa kweli anafanya Mh na hapa inatakiwa kwa uongozi wa juu wa CDM kuwaeleza wabunge wa maeneo yao kwenda kutoa elim ya Uraia vijijini wakishirikiana na watendaji wengne ngazi ya Ilaya kwa kufanya hivi CDM itakua inafanya vzr,mie nmeanza taratibu kijijini kwangu huku Kongwa
 
DSCF7430.JPG


Katibu wa chadema wilaya ya Iringa vijijini Felix Nyondo akimkaribisha mbunge Chiku Abwao leo​


CHADEMA cha demokrasia na maendeleo (chadema) wilaya ya Iringa vijijini kimeanza kukibomoa chama cha mapinduzi (CCM ) baada ya aliyekuwa mwenyekiti wa jumuiya ya wazazi kata ya Luhota na mjumbe wa kamati ya utekelezaji CCM wilaya ya Iringa vijijini Sihuna Kapalampya kuhamia Chadema na kuwa mwenyekiti mpya wa Chadema kata ya Luhota .

Huku ni kuishiwa hoja. Yaani kiongozi wa kata ndiyo anaripotiwa hapa na kudai kwamba hiyo ni catch kwa chama. Hebu tuondoleeni vihoja uchwara hapa.
 
Duh, huyu mbunge ameji-cream kweli. sio weupe wa asili yake.

Mbona huko magamba kuna wanaume wanaji-cream hamsemi? Yupo Nape na Martina Shigela hawa hamuwaoni mna muona Chiku tu? Wacheni hizo nyie magamba.
 
Huku ni kuishiwa hoja. Yaani kiongozi wa kata ndiyo anaripotiwa hapa na kudai kwamba hiyo ni catch kwa chama. Hebu tuondoleeni vihoja uchwara hapa.

Umepiga mswaki lakini au umekurupuka tu.
 
Back
Top Bottom