SAGAI GALGANO
JF-Expert Member
- Nov 13, 2009
- 43,707
- 60,756
Ngoja Mwenezi azipate hizi taarifa - wiki ijayo tu, anapeleka kikosi kazi yaani Origino Ze komedi na TOT kuibomoa kambi yote ya CDM.
Copy & paste, ubunifu zero kwa CCM
Ngoja Mwenezi azipate hizi taarifa - wiki ijayo tu, anapeleka kikosi kazi yaani Origino Ze komedi na TOT kuibomoa kambi yote ya CDM.
Kama wabunge wa chadema wangezama vijijini kama chiku abwao mbunge wa Iringa akiwa na
gari yake ndogo aina ya suzuki kwenye roof ikiwa imezungukwa na maspika na bendera za chadema.
mama huyu kazi yake ni moja tu nayo ni kuibomoa CCM Iringa vijijini na hasa eneo la Kalenga.
ningependa wabunge wa chadema wafuate nyayo za huyu mama waache siasa za maofisini na kuzama vijijini.
JEMBE LA CHADEMA HUKO KALENGA.
mbunge Chiku Abwao baada ya kazi nzito ya kujenga chadema vijijini leo
Wafuasi wa Chadema kata ya Luhota wakisukuma gari alilopanda mbunge wao Chiku Abwao leo
Matembezi ya kwenda kufungua ofisi ya kata ya Chadema kata ya Luhota jimbo la Kalenga leo
Mbunge Chiku Abwao akimwaga noti na bendera za Chadema kwa ajili ya kuchangia ufunguzi wa ofisi kata ya Luhota leo
Wananchi wakiandamana kwenda kufungua ofisi ya Chadema vijijini kwenye kata ya Luhota jimbo la kalenga wilaya ya Iringa vijijini leo
Gari la mbunge Chiku likisukumwa leo
Katibu wa chadema wilaya ya Iringa vijijini Felix Nyondo akimkaribisha mbunge Chiku Abwao leo
CHADEMA cha demokrasia na maendeleo (chadema) wilaya ya Iringa vijijini kimeanza kukibomoa chama cha mapinduzi (CCM ) baada ya aliyekuwa mwenyekiti wa jumuiya ya wazazi kata ya Luhota na mjumbe wa kamati ya utekelezaji CCM wilaya ya Iringa vijijini Sihuna Kapalampya kuhamia Chadema na kuwa mwenyekiti mpya wa Chadema kata ya Luhota .
picha hizi kwa hisani ya www.francisgodwin.blogspot.com mwandishi nguli huko Nyanda za juu kusini.
CHADEMA itoe maelekezo na kuwapangia malengo makatibu, viongozi wa ngazi za wilaya kufungua matawi vijijini, watu wanakosa hata sehemu ya kuchukulia kadi.
Tuache siasa za ki CCM. mwandishi francise hajakidhi baadhi ya mambo ambayo yameniacha na maswali mengi.:picha hazimpambi huyu mama, kwanza zinaonyeshwa anasukumwa kwenye gari (mrema, jairo), anagawa pesa (JK na wenzake), very minimal audience (nape), mkorogu umedunda (Anne Kilango malecela)
Lets share her success na sio picha ambazo ziko kama amepiga John Guninita
Kama wabunge wa chadema wangezama vijijini kama chiku abwao mbunge wa Iringa akiwa na
gari yake ndogo aina ya suzuki kwenye roof ikiwa imezungukwa na maspika na bendera za chadema.
mama huyu kazi yake ni moja tu nayo ni kuibomoa CCM Iringa vijijini na hasa eneo la Kalenga.
ningependa wabunge wa chadema wafuate nyayo za huyu mama waache siasa za maofisini na kuzama vijijini.
JEMBE LA CHADEMA HUKO KALENGA.
mbunge Chiku Abwao baada ya kazi nzito ya kujenga chadema vijijini leo
Wafuasi wa Chadema kata ya Luhota wakisukuma gari alilopanda mbunge wao Chiku Abwao leo
Matembezi ya kwenda kufungua ofisi ya kata ya Chadema kata ya Luhota jimbo la Kalenga leo
Mbunge Chiku Abwao akimwaga noti na bendera za Chadema kwa ajili ya kuchangia ufunguzi wa ofisi kata ya Luhota leo
Wananchi wakiandamana kwenda kufungua ofisi ya Chadema vijijini kwenye kata ya Luhota jimbo la kalenga wilaya ya Iringa vijijini leo
Gari la mbunge Chiku likisukumwa leo
Katibu wa chadema wilaya ya Iringa vijijini Felix Nyondo akimkaribisha mbunge Chiku Abwao leo
CHADEMA cha demokrasia na maendeleo (chadema) wilaya ya Iringa vijijini kimeanza kukibomoa chama cha mapinduzi (CCM ) baada ya aliyekuwa mwenyekiti wa jumuiya ya wazazi kata ya Luhota na mjumbe wa kamati ya utekelezaji CCM wilaya ya Iringa vijijini Sihuna Kapalampya kuhamia Chadema na kuwa mwenyekiti mpya wa Chadema kata ya Luhota .
picha hizi kwa hisani ya www.francisgodwin.blogspot.com mwandishi nguli huko Nyanda za juu kusini.
Tuache siasa za ki CCM. mwandishi francise hajakidhi baadhi ya mambo ambayo yameniacha na maswali mengi.:
1: Kwa nini mh mbunge anagawa fedha hadharani? ananunua haki? Sio sera ya CDM
2:Ofisi iliyofunguliwa mbona haionekani? Kanya boya hilo. Janja ya nyani anataka kuwaaminisha watu ili apate msaada wa fedha. Tumeliwa.
3:bona kama kanyumba kako isolated? hao wanachama wako wapi? naona kama ni vijana aliotoka nao Iringa mjini sio wananchi wa eneo husika.
4: NAOGOPA KUTUKANWA LAKINI TUWE MAKINI SANA NA HAYA. ISIJE KUWA MTAJI WA KISIASA 2015. MSIGWA KAA MKAO WA KULA.
mkuu kama ulikuwa unajibu hoja za IPOGOLO umetumia maneno mazuri nahisi kama ningesema kabla yako ningetumia maneno makali, labda mama alitakiwa awaandikie cheque akiwa kajificha sijui, kama huoni ofisi iliyofunguliwa mlaumu mpiga picha, kwa mawazo yako mama alienda pale kupiga picha(yapo maeneo mengi tu mazuri ya kupiga picha), usiliwe kaa na vijisenti vyako watakula wengine labda massage ya sinza, hao wanachama sijui wameruka kwa ungo sababu wasingetoshea kwenye gari la pekee tunajua mmezoea kuwapakia wapiga kelele wenu kwenye ma-fuso na scania kutoka mikoa ya jirani, mwisho sina haja ya kutukana jina lako linatosha...tumieni akili kufikiri na sio masaburi.....huyo mbunge ametoa bendera za chedema na pia hicho kiasi cha pesa cha kuitegemeza ofisi mpy kwa ajili ya kununulia vifaa vya oficn walau kwa kuanzia kulingana na mazingira...sasa hapo ninyi mnafikiri kuwa huyu mama anagawa pesa kwa hao wananchi?? ..halafu MTM nashukuru umeelewa mdu alivyofafanua maana wakati nasoma post zako nilikuwa nimefumba jicho moja.
mtamaholo
wewe ni muungwana na nimekusoma... iwapo sisi wanaJF tungekua kama wewe, basi tungekua mbali sana
Nimeheshimu sana ushauri wako na kuukubali kabisa, pamoja na hayo nadhani sisi tusioishi iringa ni vyema tukaona madawati, matrekta, vocha za mbolea hazijaibiwa, mipango ya maendeleo iko wilayani na pia mihutasari ya vijiji inafanyiwa kazi vyema
You have earned my reputation and i pray that you live long to realise our dream
kuna bifu la chini kwa chini kati ya Msigwa na Chiku na bango hili lina kazi "maalum" na nimemuona Msigwa katupia dongo lake kwa mbaaali. Hebu nijishindilie kande zangu miye!! kwa wale msiojua Chiku keshaanza kutengeneza mtandao wake wa mwaka 2015 ubunge Iringa Mjini ua Isimani hali ambayo imeleta tafrani kati yake na Msigwa. Ndiyo maana humu ndani kuna maneno kama "Isimani" au "Iringa Mjini' yamejitokeza tokeza.tumieni akili kufikiri na sio masaburi.....huyo mbunge ametoa bendera za chedema na pia hicho kiasi cha pesa cha kuitegemeza ofisi mpy kwa ajili ya kununulia vifaa vya oficn walau kwa kuanzia kulingana na mazingira...sasa hapo ninyi mnafikiri kuwa huyu mama anagawa pesa kwa hao wananchi?? ..halafu MTM nashukuru umeelewa mdu alivyofafanua maana wakati nasoma post zako nilikuwa nimefumba jicho moja.