Jidu
JF-Expert Member
- Mar 9, 2011
- 1,232
- 754
Ni juma la pili sasa Mbunge wa viti Maalum kutoka Mbeya Dr.Mary Mwanjelwa akijaribu kutafuta "Media Attention"toka kwenye Runinga,Magazeti na sasa kwenye blogs juu ya michango anayotoa kwa jamii mara yupo Hospitali akitoa magodoro mara sijui anasalimiana na nani,mara anatembelea wafungwa hivi nini hasa anataka kutuonyesha kuwa yeye anajali sana jamii au anampango wa kujizolea umaarufu wa kisiasa ili aonekane anafaa kwa cheo fulani!Yatosha tu kujitolea kimya kimya sio mpaka uwe na misururu merefu pamoja na waandishi wa habari kila upitapo hebu tumia elimu yako vizuri na sio kujitafutia umaarufu kwa njia hii