Mbunge huyu anamwakilisha nani?

Wana jf wenzangu, tuwe objective japo kidogo.
Mhe. Pindi Chana ni Mtanzania, anaruhusiwa kufanya biashara yoyote kama Mtanzania mwingine yoyote.
Tena inabidi yeye awe ni mtu wa kupongezwa kwa kuwa open na kuomba vibali vya kufanya biashara halali kuliko wale wamiliki wa mabasi 8 ya Youtong au wamiliki wa biashara kubwa lukuki kwa majina ya watoto wao na wakwe zao!.

Hivi kufanya biashara inaonekana kama ni dhambi?. Si afadhali umeisikia hiyo lobbying ya kibali cha kuvuna msitu wa Sao Hill kwa Mh. Pindi Chana akiisema wazi, wazi, jee ungejua Mzindakaya amefanya lobbying gani, anamiliki vitalu vingapi vya uwindaji, na ni mbia wa hisa ngapi katika miradi mikubwa mikubwa ya uwekezaji, ungesema nini wewe?.

Hivi unataarifa kuna eneo Bagamoyo limetengwa kama special EPZ, si tulimlaumu sana Mkapa kwa kufanya biashara ikulu!. Sasa subirini wenye zamu zao za ikulu zikiisha mshuhudie vitegauchumi wanavyomiliki au kwa majina yao, ya watoto wao na jamaa zao!.

Binafsi namkubali sasa huyu mama na nampongeza kwa kuwa muwazi zaidi, pia kwa vile ni mwanasheria, pia namshauri aka fanye petition, awe mshauri, mtamlipa zaidi kuliko kupasua mbao na kututeketezea mazingira yetu!.
 
Usiwe mvivu wa kufikiri na kutenda; double click hiyo link ya website ya bunge na utaona inafunguka uisome live bila chenga. Kama huna adobe pdf reader, download au nitumie PM nikurushie adobe pdf professional upate vya bure!!!

I hope you meant to tell him/her (salaama) , not me.
 
Usiwe mvivu wa kufikiri na kutenda; double click hiyo link ya website ya bunge na utaona inafunguka uisome live bila chenga. Kama huna adobe pdf reader, download au nitumie PM nikurushie adobe pdf professional upate vya bure!!!

mi naomba quotes za marehemu Chacha Wangwe.. Nilimpenda sana na michango yake bungeni..
 
Hansard sio msaafu....kwahiyo tusilazimishane kuamini kwamba kilichoandikwa ndicho kilichotokea.

umewahi kuona hansard? Wanaquote mpaka vicheko na makofi kwa taarifa yako! Haichakachuliki hata kidogo. Pale ndipo sheria zinapotungwa! Mambo ya sheria si unayajua? Tafsiri ndogo ya maneno mtu anashindwa ama kushinda kesi,regardless nani mwenye haki! Huoni wabunge wakati mwingine husema,maneno hayo yasiwekwe ama yaondolewe kwenye hansard? Isipoombwa ndani ya kikao inanukuliwa tu kwenye hansard..
 
umewahi kuona hansard? Wanaquote mpaka vicheko na makofi kwa taarifa yako! Haichakachuliki hata kidogo. Pale ndipo sheria zinapotungwa! Mambo ya sheria si unayajua? Tafsiri ndogo ya maneno mtu anashindwa ama kushinda kesi,regardless nani mwenye haki! Huoni wabunge wakati mwingine husema,maneno hayo yasiwekwe ama yaondolewe kwenye hansard? Isipoombwa ndani ya kikao inanukuliwa tu kwenye hansard..

Nashukuru kwa kunielimisha. Sasa nimeelewa.
 
Kabipi, nimelipenda swali lako, "mbunge huyu anamwakilisha nani?". Hili ni swali ambalo na sisi huku ludewa tumekuwa tukijiuliza. Pindi Hazara Chana, si jina la ludewa. Tutamuuliza ilikuwaje TBL wampe shs mil 15 na yeye akafikisha ludewa tshs mil 10 pekee? Huyu dada anatuibia sana wanacnhi wa ludewa akijifanya yeye ni mzaliwa wa huku. Majibu atayapata.

Huyu pindi chana, aliolewa na dr. Norman sigala na ameachika kwa sababu ya uchawi. Mumewe anasema Pindi chana ni mshirikina ile balaa na kwamba pinndi chana kila anapokuwa mle kwenye mkoba wake anatembea na nyoka, urithi toka kwa mama yake. Ukitaka kujua habari za huyu singa singa muulize dr. Norman sigala. Atakuoa full mkanda. Labda anawawakilisha hao washirikina wenzake mle bungeni.

Pindi chana kwa kushindwa kujua anamwakilisha nani kule bungeni amekuwa anakuja sana ludewa siku za hivi karibuni. Tunamwonea huruma sana na hizo kalenda zake anazozigawa LEO. Alikuwa iringa, leo yupo njombe, kesho:nerd: sijui atakuwa Punjab!
 
Kabipi, nimelipenda swali lako, "mbunge huyu anamwakilisha nani?". Hili ni swali ambalo na sisi huku ludewa tumekuwa tukijiuliza. Pindi Hazara Chana, si jina la ludewa. Tutamuuliza ilikuwaje TBL wampe shs mil 15 na yeye akafikisha ludewa tshs mil 10 pekee? Huyu dada anatuibia sana wanacnhi wa ludewa akijifanya yeye ni mzaliwa wa huku. Majibu atayapata. Sijui atagawa ile 'dudu' yake ya kati kwa watu wangapi?

Huyu pindi chana, aliolewa na dr. Norman sigala na ameachika kwa sababu ya uchawi. Mumewe anasema Pindi chana ni mshirikina ile balaa na kwamba pinndi chana kila anapokuwa mle kwenye mkoba wake anatembea na nyoka, urithi toka kwa mama yake. Ukitaka kujua habari za huyu singa singa muulize dr. Norman sigala. Atakuoa full mkanda. Labda anawawakilisha hao washirikina wenzake mle bungeni.

Pindi chana kwa kushindwa kujua anamwakilisha nani kule bungeni amekuwa anakuja sana ludewa siku za hivi karibuni. Tunamwonea huruma sana na hizo kalenda zake anazozigawa LEO. Alikuwa Kwanza mbunge wa vm iringa, akaja kuwa mbunge vm njombe, leo yupo vm ludewa. Kesho sijui atakuwa mbunge vm Punjab!
 
Wengine wanaweza kusema.

1. Mbunge ni mfuatiliaji mambo kwa vitendo ndio maana anajihusisha mwenyewe kuona matatizo ya wananchi, hataki kuhadithiwa.
2. Mbunge kusema kwamba yeye mwenyewe ana interest katika mradi huo ni katika kufuata maadili ya "full disclosure" na hana nia mbaya ndiyo maana ameweza kwenda on record with that disclosure in full faith.

Ina maana kama mbunge mkulima, asitetee maslahi ya wakulima kwa sababu kwa kutetea maslahi ya mkulima atakuwa anatetea maslahi yake?

Sioni kanuni aliyovunja kati ya hizo mlizotaa.

Mimi ningekuwa concerned sana kama mbunge angesema anatetea wafanyabiashara bila kutuambia kwamba na yeye ana interests, halafu baadaye ikajulikana kwamba ana interests katika biashara hiyo.

Mbunge has to eat too. Sasa mnataka asipasue mbao apate wapi hela ya kujikimu na kuhakikisha yuko ngangali kuwahudumia wananchi bila kushawishika na ufisadi?
 
umewahi kuona hansard? Wanaquote mpaka vicheko na makofi kwa taarifa yako! Haichakachuliki hata kidogo. Pale ndipo sheria zinapotungwa! Mambo ya sheria si unayajua? Tafsiri ndogo ya maneno mtu anashindwa ama kushinda kesi,regardless nani mwenye haki! Huoni wabunge wakati mwingine husema,maneno hayo yasiwekwe ama yaondolewe kwenye hansard? Isipoombwa ndani ya kikao inanukuliwa tu kwenye hansard..

Hansard inachakachulika. Spika anaweza kuamua mbunge atoe maneno fulani katika Hansard. Hii hutokea sana hasa mbunge akitoa lugha ya kashfa, matusi etc.
 
Mbunge has to eat too. Sasa mnataka asipasue mbao apate wapi hela ya kujikimu na kuhakikisha yuko ngangali kuwahudumia wananchi bila kushawishika na ufisadi?[/QUOTE]

Ni kweli mbunge has to eat too. But Pindi Chana has been in power for two terms as an MP what has she done for this country? Na rafiki yake mkubwa, mhandisi wa maji ndg. Nyandiga alipotoa siri ya Pindi Chana kula 5 mil out of the 15 mil alizopewa na TBL hatukushangaa! Na akalazimisha apewe risiti ya 15 mil wakati ludewa kapeleka tshs 10 mil.

Pindi Chana hana uwezo wa akili. Ndo maana ameboronga mswaada wa katiba. Yeye kama mwenyekiti wa Kamati ya Katiba na Sheria ameshindwa kabisa kumudu na kulielekeza bunge juu ya utaratibu bayana wa kupata katiba mpya.

Matokeo yake leo hii vyama vinajipanga kwenda ikulu kumwona rais kumpa maoni, kazi iliyobidi aifanye yeye mhe pindi chana. Tunao mjua pindi hatushangai maana hiyo degree yeenyewe ya sheria pindi chana kaisomea Urusi (afadhali hata angesomea india kwao)!!
 
Wana jf wenzangu, tuwe objective japo kidogo.
Mhe. Pindi Chana ni Mtanzania, anaruhusiwa kufanya biashara yoyote kama Mtanzania mwingine yoyote.
Tena inabidi yeye awe ni mtu wa kupongezwa kwa kuwa open na kuomba vibali vya kufanya biashara halali kuliko wale wamiliki wa mabasi 8 ya Youtong au wamiliki wa biashara kubwa lukuki kwa majina ya watoto wao na wakwe zao!..

Pindi Chana ni mwakilishi wa wananchi, kuongelea biashara zake tena ndani ya bunge ni kwamba alikuwa anajiwakilisha
yeye mwenyewe badala ya kuwakilisha wananchi and that is wrong.

Pindi Chana kujidai kwamba anaweza kuwatumikia mabwana wawili, watampasua msamba hata kama ni mkubwa!
 
Mheshimiwa Pindi Chana,Mbunge na Mwenyekiti wa Kamati ya Bunge ya Katiba na Sheria na Mjumbe wa Kamati Kuu ya CCM kule Bungeni anamwakilisha nani? Nimeshangazwa na mchango wake alioutoa kwenye kuchangia Hotuba ya Bajeti ya Maliasili ambapo kwenye hansard alinukuliwa akisema:


MHE. PINDI H. CHANA: Mheshimiwa Spika, naunga mkono hoja. Lini vibali vya kupasua miti
katika Shamba la Sao Hill vitatoka? Mimi ni miongoni mwa walioomba vibali na sifa na vitendea
kazi ninavyo; je, nitapata kibali cha kupasua mbao Sao Hill?
Mheshimiwa Spika, Mbuga ya Kitulo Makete ipewe kipaumbele na uwezeshaji na Ruaha
National Park Iringa ili watalii waweze kufika katika mbuga hizo za wanyama kwa wingi sana"


nukuu hii inapatikana katika ukurasa wa 101 katika hansard iliyomo kwenye tovuti ya Bunge
http://parliament.go.tz/POLIS/PAMS/Docs/HS-4-50-2011.pdf

kweli kwa mwendo wa wawakilishi wanaoweka maslahi yao mbele kwa namna hii tutafika? Kama ni kulipwa posho 200,000 ni kwa ajili ya kujiombea tender basi tumekwisha!

Hivi huyu Mheshimiwa ndio anatajwa kuwa miongoni mwa mawaziri watakaoteuliwa....si tutakula hasara.....maana akiwa mbunge wa kawaida analilia maslahi yake ya kupewa vitalu......itakuwaje yeye akishika wizara yenyewe, si atakuwa zaidi ya wanaotakiwa kutoka! Du kweli tumekula hasara nchi hiii
 
huyu amekuwa mbunge wa viti maalumu zaidi ya miaka miwili ni kama wakina Zakia Meghij nafikiri hata chama chao kimewachoka ndio maana wanataka kuwe na ukomo kwa wabunge wa viti maalumu nashangaa wengine wanampigia debe awe waziri na sijui amekifanyia nini chama hadi wakampa ujumbe wa cc
 
Wakuu,
Yatupasa kutambua jambo moja,nchi hii imeoza.shit!!!!

Lakini Pindi Chana hawajavunja sheria yoyote wala kukiuka maadili ya kazi yake kama mbunge. Zamani sana tulikuwa na maadili ya viongozi, wenzetu wanaita "leadership code of conduct" au "leadership ethics." leo hii hakuna kitu cha namna hiyo, kwa hivyo Pindi ana haki ya kuuliza swali hilo bila wasiwasi wowote.
 
Mheshimiwa Pindi Chana,Mbunge na Mwenyekiti wa Kamati ya Bunge ya Katiba na Sheria na Mjumbe wa Kamati Kuu ya CCM kule Bungeni anamwakilisha nani? Nimeshangazwa na mchango wake alioutoa kwenye kuchangia Hotuba ya Bajeti ya Maliasili ambapo kwenye hansard alinukuliwa akisema:


MHE. PINDI H. CHANA: Mheshimiwa Spika, naunga mkono hoja. Lini vibali vya kupasua miti
katika Shamba la Sao Hill vitatoka? Mimi ni miongoni mwa walioomba vibali na sifa na vitendea
kazi ninavyo; je, nitapata kibali cha kupasua mbao Sao Hill?
Mheshimiwa Spika, Mbuga ya Kitulo Makete ipewe kipaumbele na uwezeshaji na Ruaha
National Park Iringa ili watalii waweze kufika katika mbuga hizo za wanyama kwa wingi sana"


nukuu hii inapatikana katika ukurasa wa 101 katika hansard iliyomo kwenye tovuti ya Bunge
http://parliament.go.tz/POLIS/PAMS/Docs/HS-4-50-2011.pdf

kweli kwa mwendo wa wawakilishi wanaoweka maslahi yao mbele kwa namna hii tutafika? Kama ni kulipwa posho 200,000 ni kwa ajili ya kujiombea tender basi tumekwisha!
Kuna wakati nilimshambulia hapa nikaonekana mbaya sana

Pindi ni mdada aliyebahatika kuingia kwenye circles za kiulaji, akaonja, akanogewa, akajiramba na akajisahau kabisa kwamba kama sio mababu zake akina mwangalumemile mwampunza... asingekua pale

Anyway, labda amekaa kibiashara zaidi
 
huyu amekuwa mbunge wa viti maalumu zaidi ya miaka miwili ni kama wakina Zakia Meghij nafikiri hata chama chao kimewachoka ndio maana wanataka kuwe na ukomo kwa wabunge wa viti maalumu nashangaa wengine wanampigia debe awe waziri na sijui amekifanyia nini chama hadi wakampa ujumbe wa cc

Pindi chana ni mrembo bwana au hujawahi kumwona?
 
Back
Top Bottom