Mheshimiwa Pindi Chana,Mbunge na Mwenyekiti wa Kamati ya Bunge ya Katiba na Sheria na Mjumbe wa Kamati Kuu ya CCM kule Bungeni anamwakilisha nani? Nimeshangazwa na mchango wake alioutoa kwenye kuchangia Hotuba ya Bajeti ya Maliasili ambapo kwenye hansard alinukuliwa akisema:
MHE. PINDI H. CHANA: Mheshimiwa Spika, naunga mkono hoja. Lini vibali vya kupasua miti
katika Shamba la Sao Hill vitatoka? Mimi ni miongoni mwa walioomba vibali na sifa na vitendea
kazi ninavyo; je, nitapata kibali cha kupasua mbao Sao Hill?
Mheshimiwa Spika, Mbuga ya Kitulo Makete ipewe kipaumbele na uwezeshaji na Ruaha
National Park Iringa ili watalii waweze kufika katika mbuga hizo za wanyama kwa wingi sana"
nukuu hii inapatikana katika ukurasa wa 101 katika hansard iliyomo kwenye tovuti ya Bunge
http://parliament.go.tz/POLIS/PAMS/Docs/HS-4-50-2011.pdf
kweli kwa mwendo wa wawakilishi wanaoweka maslahi yao mbele kwa namna hii tutafika? Kama ni kulipwa posho 200,000 ni kwa ajili ya kujiombea tender basi tumekwisha!
MHE. PINDI H. CHANA: Mheshimiwa Spika, naunga mkono hoja. Lini vibali vya kupasua miti
katika Shamba la Sao Hill vitatoka? Mimi ni miongoni mwa walioomba vibali na sifa na vitendea
kazi ninavyo; je, nitapata kibali cha kupasua mbao Sao Hill?
Mheshimiwa Spika, Mbuga ya Kitulo Makete ipewe kipaumbele na uwezeshaji na Ruaha
National Park Iringa ili watalii waweze kufika katika mbuga hizo za wanyama kwa wingi sana"
nukuu hii inapatikana katika ukurasa wa 101 katika hansard iliyomo kwenye tovuti ya Bunge
http://parliament.go.tz/POLIS/PAMS/Docs/HS-4-50-2011.pdf
kweli kwa mwendo wa wawakilishi wanaoweka maslahi yao mbele kwa namna hii tutafika? Kama ni kulipwa posho 200,000 ni kwa ajili ya kujiombea tender basi tumekwisha!