akajasembamba
JF-Expert Member
- Dec 24, 2010
- 1,012
- 1,475
Katika Kikao cha Bunge lililopita nilishangazwa kumsikia Mbunge Henry Shekifu akiwasifia bila aibu polisi kwa kuua na kujeruhi katika maandamano huko Arusha, kwa kusema waliovijaribu vyombo vya dola WALIKIONA CHA MTEMA KUNI!hata mikoani vyombo vya dola vina nguvu.
Nilimshangaa Mbunge huyu kusifia MAUAJI na utoaji roho binadamu wenzake, hata viongozi wa chama chake hakuna hata mmoja aliyesifia mauaji walichojaribu ni kutetea tu!
Yeye anakiherehere gani na roho gani sijui
Nilimshangaa Mbunge huyu kusifia MAUAJI na utoaji roho binadamu wenzake, hata viongozi wa chama chake hakuna hata mmoja aliyesifia mauaji walichojaribu ni kutetea tu!
Yeye anakiherehere gani na roho gani sijui