Mwanahabari Huru
JF-Expert Member
- Mar 9, 2015
- 14,243
- 34,899
Mbunge wa Ulanga, Gudluck Mlinga ameomba Bunge kuzuia wanawake waliofika ofisi za RC DSM kudai wametelekezwa, akisema hatua hiyo ni kuwadhalilisha watoto.
Kwa nini ufanye ngono zembe wakati kuna kondomu?,halafu we ujui siku zako?kwa hiyo tuzalishe tutelekeze akitokea mtu wa kuwasaidia tuseme wanazalilishwa,,,,, shukuru hayajakukuta . kuna dada ametelekezwa na mumewe mtaani kwangu ana watoto watatu anazunguka mtaani kuomba msaada japo hata wa chakula ,,,,, tuache masihala ... serikali ilichukue kama changamoto iwasaidie.
Huyu kilaza nae anajua sheria?Mbunge wa Ulanga, Gudluck Mlinga ameomba Bunge kuzuia wanawake waliofika ofisi za RC DSM kudai wametelekezwa, akisema hatua hiyo ni kuwadhalilisha watoto.
View attachment 741123
Mbunge wa Ulanga, Gudluck Mlinga ameomba Bunge kuzuia wanawake waliofika ofisi za RC DSM kudai wametelekezwa, akisema hatua hiyo ni kuwadhalilisha watoto.
View attachment 741123
Tusiotumia kondomu tupo wengi, raha ya kufyatuana ni nyama kwa nyamaKwa nini ufanye ngono zembe wakati kuna kondomu?,halafu we ujui siku zako?
kwa hiyo tuzalishe tutelekeze akitokea mtu wa kuwasaidia tuseme wanazalilishwa,,,,, shukuru hayajakukuta . kuna dada ametelekezwa na mumewe mtaani kwangu ana watoto watatu anazunguka mtaani kuomba msaada japo hata wa chakula ,,,,, tuache masihala ... serikali ilichukue kama changamoto iwasaidie.
Mtoto Wa kwanza unazaa, unatelekezwa, wapili unazaa pia utelekezwe, watatu pia? Loh.....haya hivi unazaaje watoto watatu hata ndugu Wa ukweni huwajuikwa hiyo tuzalishe tutelekeze akitokea mtu wa kuwasaidia tuseme wanazalilishwa,,,,, shukuru hayajakukuta . kuna dada ametelekezwa na mumewe mtaani kwangu ana watoto watatu anazunguka mtaani kuomba msaada japo hata wa chakula ,,,,, tuache masihala ... serikali ilichukue kama changamoto iwasaidie.
Kutelekeza maana yake n nn.... Hivi unajua wanaume wangapi wamesingiziwa watoto ambao sio halali yao?... Yaani we ukiitiwa mimba tu ukubali, umejua sababu ya kutelekezwa hao watoto?... We una uhakika kama huyo unayemuita baba yako ni baba yako wa halali?.... Tangu amezaa alishaenda ustawi wa jamii Mara ngapi? Makonda ni shahidi wa ukweli wa mimba hizo?.. Akili zenu za kuvukia barabara ndipo zilipoishia kutengeneza visasi vya kisiasa..... Ila sitashangaa kama aliforge vyeti na hili atalitengeneza, lakini ukweli utabainika tukwa hiyo tuzalishe tutelekeze akitokea mtu wa kuwasaidia tuseme wanazalilishwa,,,,, shukuru hayajakukuta . kuna dada ametelekezwa na mumewe mtaani kwangu ana watoto watatu anazunguka mtaani kuomba msaada japo hata wa chakula ,,,,, tuache masihala ... serikali ilichukue kama changamoto iwasaidie.
kuna vitengo husika kwanini visifuatwe?kwa hiyo tuzalishe tutelekeze akitokea mtu wa kuwasaidia tuseme wanazalilishwa,,,,, shukuru hayajakukuta . kuna dada ametelekezwa na mumewe mtaani kwangu ana watoto watatu anazunguka mtaani kuomba msaada japo hata wa chakula ,,,,, tuache masihala ... serikali ilichukue kama changamoto iwasaidie.
Natamani nikupige BAN sema nimekosa umoderator wa JF, yani unatetea mtu kuvunja sheria kwa kigezo cha kutetea watu?? (Japo kiuhalisia kuna watu analenga kuwachafua), Siku ukijua umuhimu wa kufuata sheria utaelewa nachokuambia. Afu kwenye hao wanawake wengi wao wameshasikilizwa na taasisi husika na mashauri yao yalishapatiwa ufumbuzi sema hawajaridhika. Wapo ambao baba wa watoto wanatoa matumizi kulingana na vipato vyao ila wanataka nao watunzwe kama Hamisa Mobeto.kwa hiyo tuzalishe tutelekeze akitokea mtu wa kuwasaidia tuseme wanazalilishwa,,,,, shukuru hayajakukuta . kuna dada ametelekezwa na mumewe mtaani kwangu ana watoto watatu anazunguka mtaani kuomba msaada japo hata wa chakula ,,,,, tuache masihala ... serikali ilichukue kama changamoto iwasaidie.
Ofisi za ustawi wa jamii unazijua pamoja na majukumu yake kisheria???????????????????????kwa hiyo tuzalishe tutelekeze akitokea mtu wa kuwasaidia tuseme wanazalilishwa,,,,, shukuru hayajakukuta . kuna dada ametelekezwa na mumewe mtaani kwangu ana watoto watatu anazunguka mtaani kuomba msaada japo hata wa chakula ,,,,, tuache masihala ... serikali ilichukue kama changamoto iwasaidie.
Ukikutana na mwanamke wa hivyo mpeleke BRELA akasajili hicho kiwanda...Mtoto Wa kwanza unazaa, unatelekezwa, wapili unazaa pia utelekezwe, watatu pia? Loh.....haya hivi unazaaje watoto watatu hata ndugu Wa ukweni huwajui