Mbunge gani ungependa kusikia akichangia (au kutoa hoja) bungeni?

Solomon David

JF-Expert Member
Mar 1, 2009
1,148
16
Kabla wapambe hamjaanza kumsakama SD kwa hii thread, naomba tu mfunge macho yenu, mkuze fikra zenu, mchore picha mawinguni, muuhisi mdhanio wa upepo mwanana wa bahari ukivuma tokea pwani ya Tanga, mnuse harufu nzuri ya mdalasini na grrrrrrrrrrrrraaaaaaaaaaaaph....

.......ghafla.......Sauti ya mchawi maarufu east afrika, ambaye pia ni mbunge wa chama cha mafisadi wa ccm - Prof Maji marefu inatokea...

... anajaribu kuchangia mjadala wa kupunguza (au kuongeza) mrahaba wa mapato ya madini toka asilimia 1.5 hadi asilimia 1.51111123543 kwa mwaka.

graaaaaaaaaaaaaaaaaaarphrfraaaaaaarrrrrr....

SD, nitakuwa kama namsukuma mlevi vile.
Yaani sina haja sana ya kusubiria kusikiliza hotuba za Lissu na wenzake (zitakuwa zina shule ya kutosha). Ningependa sana kusikia mchango wa prof maji marefu na vilaza wenzake kama yule mbunge wa Rorya - Aiko (whatever the fkjdc his name is) mwenye ilimu ya darasa la nne.

Wewe ungependa kumsikia nani akichangia?
 
January akae peke yake kwenye ukumbi wa zamani wa bunge

kwi kwi kwi mkuu umenimaliza mbavu ... oh mai mai mai mbavu zangu

Nimejaribu kuimagine hiyo picha ya JM akiwa peke yake ukumbi wa zamani wa bunge sikuweza kushikilia zaidi kicheko.
 
Nahamu kweli ya kumsikia RM akichangia kwa maneno...! Huwa nasikia huchangia kwa maandishi tu yeye...!
 
Yule yule aliyepigwa na Polisi ningependa sana kumsikia akichangia na kutoa hoja.
Huyo ni Lema.
Mnyika
Mbowe
LISSU
Kahigi
Abwao
Gekul
 
Kabla wapambe hamjaanza kumsakama SD kwa hii thread, naomba tu mfunge macho yenu, mkuze fikra zenu, mchore picha mawinguni, muuhisi mdhanio wa upepo mwanana wa bahari ukivuma tokea pwani ya Tanga, mnuse harufu nzuri ya mdalasini na grrrrrrrrrrrrraaaaaaaaaaaaph....

.......ghafla.......Sauti ya mchawi maarufu east afrika, ambaye pia ni mbunge wa chama cha mafisadi wa ccm - Prof Maji marefu inatokea...

... anajaribu kuchangia mjadala wa kupunguza (au kuongeza) mrahaba wa mapato ya madini toka asilimia 1.5 hadi asilimia 1.51111123543 kwa mwaka.

graaaaaaaaaaaaaaaaaaarphrfraaaaaaarrrrrr....

SD, nitakuwa kama namsukuma mlevi vile.
Yaani sina haja sana ya kusubiria kusikiliza hotuba za Lissu na wenzake (zitakuwa zina shule ya kutosha). Ningependa sana kusikia mchango wa prof maji marefu na vilaza wenzake kama yule mbunge wa Rorya - Aiko (whatever the fkjdc his name is) mwenye ilimu ya darasa la nne.

Wewe ungependa kumsikia nani akichangia?

Tatizo letu watanzania tuna kasumba sana ya kufikiria elimu ndo njia pekee ya mbunge kuchangia hoja. Hao wenye darasa la nne wanaweza kutoa mawazo mazuri kuliko hata wenye ph.d. Nakumbuka John Major hakkuwa na shahada ila alikua mmoja wa mawaziri wakuu bora Uingereza, au George Washington hakuwa na shahada ila aliongoza wenye shahada kuondoa ukoloni. Nakumbuka ile hadithi ya msomi na ph.d yake yupo na girl friend wake wanaendesha kutembelea kijijini. Walipofika wakapaki wakakutana na mjinga mmoja asiekua na elimu yoyote, yule msomi kutaka kujisifia kwa mwanamke wake akaanza kumkashifu yule jamaa, akimwambia kuwa ni mjinga hana elimu na ni mzembe, na mvivu. Punde gari yao ikapata pancha.Msomi akafungua bolt za tairi, huku akijiandaa kubadili tairi, mara kikatokea kimbuga na zile bolt zote zikaangukia bondeni. Msomi hakawa hana la kufanya, kichwa kinamuuma, hajui watarudije. Yule mjinga akwa anawaangalia huku anacheka, akawaambia "nyie watu wa mjini mnaojifanya mmesoma mmesoma ujinga, kwanini usitoe bolt moja kwa kila tairi na ufunge tairi lako ukifika mjini ukanunue bolt? Yule mwanamke akamuona yule mjinga msomi na msomi mjinga. Kazi ya wabunge si kuwa wataalamu, kazi yao ni kuwakilisha matatizo ya wananchi
 
Yule yule aliyepigwa na Polisi ningependa sana kumsikia akichangia na kutoa hoja.
Huyo ni Lema.
Mnyika
Mbowe
LISSU
Kahigi
Abwao
Gekul
mleta maada hajasema chadema tu. Pila shaka ungependa kusikia Rostam (mbunge wa Igunga) akichangia angalao mara moja baada ya kukaa 5yrs bila ya kuchangia kwa kuongea au kwa maandishi. Pia nasubiri kuona vicy kamata, komba na sugu wakirapu bungeni. itakuwa bonge la singo
Zitto nadhani utakuwa uzi uleule, slaa nitammiss (hivi JK katika zile nafasi zaupendeleo si ampe mmojawapo slaa, mbona naona kama vile bunge hili litapwaya).
 
Yule yule aliyepigwa na Polisi ningependa sana kumsikia akichangia na kutoa hoja.
Huyo ni Lema.
Mnyika
Mbowe
LISSU
Kahigi
Abwao
Gekul

Moto utawaka sana tena hasa pale unapokuta hata Spika kanuni haziko kichwani muda wota atataka afanye reference namhurumia sana huyo mama bora angekua marando tu.

Kuna watu kama Tundu Lisu, mbowe na J.J. Mnyika sidhani kama mawaziri watawezi kupangua hoja zao labda Chenge na mafisadi wengine wajitoe mhanga.

Peoples Power
 
Ningependa kumwona mama wakatare akikemea mafisadi live kwa kuwataja majina kama.........................
 
Ningependa kumwona mama wakatare akikemea mafisadi live kwa kuwataja majina kama.........................

mama rwakatare inabidi pia akemee mapepo bungeni ... nasubiria showdown ya rwakatare na majimarefu:

Rwakatare -- nasemaaaaaa .... toka kwa jina la yesu
maji marefu --- akbarrrrr wabiluhiiiiiiiiiiiii albahlall haaaaalllllllll miuy
 
Tatizo letu watanzania tuna kasumba sana ya kufikiria elimu ndo njia pekee ya mbunge kuchangia hoja. Hao wenye darasa la nne wanaweza kutoa mawazo mazuri kuliko hata wenye ph.d. Nakumbuka John Major hakkuwa na shahada ila alikua mmoja wa mawaziri wakuu bora Uingereza, au George Washington hakuwa na shahada ila aliongoza wenye shahada kuondoa ukoloni. Nakumbuka ile hadithi ya msomi na ph.d yake yupo na girl friend wake wanaendesha kutembelea kijijini. Walipofika wakapaki wakakutana na mjinga mmoja asiekua na elimu yoyote, yule msomi kutaka kujisifia kwa mwanamke wake akaanza kumkashifu yule jamaa, akimwambia kuwa ni mjinga hana elimu na ni mzembe, na mvivu. Punde gari yao ikapata pancha.Msomi akafungua bolt za tairi, huku akijiandaa kubadili tairi, mara kikatokea kimbuga na zile bolt zote zikaangukia bondeni. Msomi hakawa hana la kufanya, kichwa kinamuuma, hajui watarudije. Yule mjinga akwa anawaangalia huku anacheka, akawaambia "nyie watu wa mjini mnaojifanya mmesoma mmesoma ujinga, kwanini usitoe bolt moja kwa kila tairi na ufunge tairi lako ukifika mjini ukanunue bolt? Yule mwanamke akamuona yule mjinga msomi na msomi mjinga. Kazi ya wabunge si kuwa wataalamu, kazi yao ni kuwakilisha matatizo ya wananchi

Mhh, ningesema kitu hapa lakini naogopa mod painkiller (ananifuata fuata sana huyu) atanifungia
 
Back
Top Bottom