Kumbe mikutano imeruhusiwa ? Kesho msijesema tumezuiwawabunge wetu tumewapa template ya speech ya kusifu & kuabudu ambayo imejaa maneno yale yale yanayojirudiarudia.... (SGR, Stieglier's Gorge, ATCL, nk).
tumegundua mahudhurio yakipungua kila iitwapo leo na hata wale wachache wanaohudhuria tunaona wanasinzia katikati ya hotuba.
naona ni kama wananchi wamewachoka wabunge wetu labda tubadili mbinu!
Kesho utatwambia mikutano ya wapinzani imezuiwaHiyo ni salamu tu wala siyo mabadiliko ya lowassa
kumbuka kwamba MA DED ndio vile tena !
View attachment 1184583View attachment 1184585View attachment 1184586
Unahitaji kuwa na akili ya mwendawazimu kufikiria kama unaweza kuuwa Upinzani kwa hali iliyopo.
Natoa onyo kwa wote wanaopoteza muda kuhangaika kuuwa Chadema kwa uchawi au kwa njia zozote zingine , waache na watafute kazi ya kufanya.
Mkutano huu umepigwa Tunduma jumamosi tarehe 17 August 2019 , Usipime !
Poweerrrrrrr.......Pipoooz
Hivi wabunge wa ccm mbona wanaogopa kuitisha mikutano ya hadhara kwenye majimbo !
Mwamuzi ni uchaguzi ,zingine ni mbwembwe tu
Kumbe mikutano imeruhusiwa ? Kesho msijesema tumezuiwa
Utamtia matatani kamanda wa polisi wa Songwe, mshahara tumlipe kazi inamshinda.View attachment 1184583View attachment 1184585View attachment 1184586
Unahitaji kuwa na akili ya mwendawazimu kufikiria kama unaweza kuuwa Upinzani kwa hali iliyopo.
Natoa onyo kwa wote wanaopoteza muda kuhangaika kuuwa Chadema kwa uchawi au kwa njia zozote zingine , waache na watafute kazi ya kufanya.
Mkutano huu umepigwa Tunduma jumamosi tarehe 17 August 2019 , Usipime !
Kama raia wa Tanzania mwenye haki ya kuongea! vipi wapi unasunbuka mkuu nikusaidie?We unatoa onyo kama nani?
Tushamuona mkuuHuyo Dada hapo juu ajiandae kudaiwa kodi na kitambulisho cha machinga.
2015 hiyo dogo. Wadanganye mandina wenzio. Mama huyo mbele kabisa kwa sasa ni marehemu, alifariki mwaka 2017View attachment 1184583View attachment 1184585View attachment 1184586
Unahitaji kuwa na akili ya mwendawazimu kufikiria kama unaweza kuuwa Upinzani kwa hali iliyopo.
Natoa onyo kwa wote wanaopoteza muda kuhangaika kuuwa Chadema kwa uchawi au kwa njia zozote zingine , waache na watafute kazi ya kufanya.
Mkutano huu umepigwa Tunduma jumamosi tarehe 17 August 2019 , Usipime !
Hata mm ni ccm ningekuwepo kusikilizaView attachment 1184583View attachment 1184585View attachment 1184586
Unahitaji kuwa na akili ya mwendawazimu kufikiria kama unaweza kuuwa Upinzani kwa hali iliyopo.
Natoa onyo kwa wote wanaopoteza muda kuhangaika kuuwa Chadema kwa uchawi au kwa njia zozote zingine , waache na watafute kazi ya kufanya.
Mkutano huu umepigwa Tunduma jumamosi tarehe 17 August 2019 , Usipime !
Hilo nalo neno! Wao mpaka wawaite wakina Diamond au Mpoki ndio wanapata wasikilizaji. Jee kwa wenye akili hiyo maana yake nini?Hivi wabunge wa ccm mbona wanaogopa kuitisha mikutano ya hadhara kwenye majimbo !
Kebehi mdomoni, moyoni majonzi kwani ukweli waujuaKwani bado wanapunga mikono ya mabadiliko? Au ni picha ya enzi za mabadiliko na kusoma ilani kwenye website?
Nyingi sana hizo, hao hata siku tatu tuu kwisha kabisa. Wamebaki kutumia jina la magu hata yale ya uwezo wao mtaanokuimaliza ccm jukwaani inahitaji siku 7 tu
Wajaribu waone yaliomkuta mbunge wa Siha. Alihutubia mawe.