Chakaza
JF-Expert Member
- Mar 10, 2007
- 39,797
- 71,216
Hujatupatia hiyo ya Siha ilikuwaje kwa yule Docta kiazi?Wajaribu waone yaliomkuta mbunge wa Siha. Alihutubia mawe.
Hujatupatia hiyo ya Siha ilikuwaje kwa yule Docta kiazi?Wajaribu waone yaliomkuta mbunge wa Siha. Alihutubia mawe.
Makamanda picha zenu za siku hizi mnapiga kiwoga woga sana mnasaka angle ya kujazia watu kwenye picha tehView attachment 1184583View attachment 1184585View attachment 1184586
Unahitaji kuwa na akili ya mwendawazimu kufikiria kama unaweza kuuwa Upinzani kwa hali iliyopo.
Natoa onyo kwa wote wanaopoteza muda kuhangaika kuuwa Chadema kwa uchawi au kwa njia zozote zingine , waache na watafute kazi ya kufanya.
Mkutano huu umepigwa Tunduma jumamosi tarehe 17 August 2019 , Usipime !
Huwezi zuia Demokrasia karne hii kwa namna yeyote ile hata kama utumie mtutu wa Bunduki bwana Jiwe. Wewe ua teka na poteza watu lakin ujue utajibu hayo matendo yako mbele ya vyombo vya haki. Huwezi zuia people's power.
Jaamaa kachanganyikiwa kweli anagawa gawa hela hovyo tuu huko mahospital kwa kuwatengeneza watu wahitaji fake mpaka anatia huruma yaani.Taratibu aisee,Mtasababisha mzee Meko aanze kugawa pesa ovyo mabarabarani huko
Kumbe mikutano imeruhusiwa ? Kesho msijesema tumezuiwa
Bado kuna watu wanawaza haya mavitu????Poleni sana tafuteni pesa. Pesa ndiyo kila kitu
Hili ni funiko, inaitwa komesha upuuzi.View attachment 1184583View attachment 1184585View attachment 1184586
Unahitaji kuwa na akili ya mwendawazimu kufikiria kama unaweza kuuwa Upinzani kwa hali iliyopo.
Natoa onyo kwa wote wanaopoteza muda kuhangaika kuuwa Chadema kwa uchawi au kwa njia zozote zingine , waache na watafute kazi ya kufanya.
Mkutano huu umepigwa Tunduma jumamosi tarehe 17 August 2019 , Usipime !
Kumbe mikutano mnafanya,mnalia lia nini?Mkutano huu umepigwa Tunduma jumamosi tarehe 17 August 2019 , Usipime !
Huru na wa haki?Mwamuzi ni uchaguzi ,zingine ni mbwembwe tu
Mapenzi yetu kwa Chadema yamo mioyoni mwetu hata hawa wahuni na wauaji waminye vipi hawawezi kuingia mioyoni mwetu na kufuta mapenzi makubwa sana tuliyonayo kwa Chadema.
This Damage cause by Mwakanjoka is beyond repair.View attachment 1184583View attachment 1184585View attachment 1184586
Unahitaji kuwa na akili ya mwendawazimu kufikiria kama unaweza kuuwa Upinzani kwa hali iliyopo.
Natoa onyo kwa wote wanaopoteza muda kuhangaika kuuwa Chadema kwa uchawi au kwa njia zozote zingine , waache na watafute kazi ya kufanya.
Mkutano huu umepigwa Tunduma jumamosi tarehe 17 August 2019 , Usipime !
hahhahhaa kuna msema ulivuma sana, eti huwezi kuzuia mafuriko kwa mikono.Mkuu mbona unataka kutupa pressure CCM kirejareja bana?
True !Chadema ni Mpango wa Mungu.
Wanajitmbua huko hongera zaoView attachment 1184583View attachment 1184585View attachment 1184586
Unahitaji kuwa na akili ya mwendawazimu kufikiria kama unaweza kuuwa Upinzani kwa hali iliyopo.
Natoa onyo kwa wote wanaopoteza muda kuhangaika kuuwa Chadema kwa uchawi au kwa njia zozote zingine , waache na watafute kazi ya kufanya.
Mkutano huu umepigwa Tunduma jumamosi tarehe 17 August 2019 , Usipime !
Kesho utatwambia mikutano ya wapinzani imezuiwa
wamechukua picha za 2015 wakazibandika kuwa ndio ZA mkutano .Kwani bado wanapunga mikono ya mabadiliko? Au ni picha ya enzi za mabadiliko na kusoma ilani kwenye website?