Mnafiki mkubwa wewe.....Watanzania hata sijui tumerogwa na nani alichosema kina ukweli 100% lakini tutapindisha ilimradi ukweli upindishwe hata sijui kwa faida ya nani na hii tabia ya upande uliendelea kukebehi upande usio na maendeleo ndio yanaleta haya madhara ya kanda ziwa kukomoa kanda ya kaskazini.Magu anachojua Kimei alichokifanya thus why kaikalia CRDB kooni huwezi kuwa na wafanyakazi karibia 90% wanatoka sehemu moja....TRA ndio usiseme Magu kawasambaratisha watu wa kaskazini hawana hata hamu nae kabisaa cha msingi Tanzania ni yetu sote mambo ya ukanda hayana faida yanapaswa kukemewa na kupingwa.
Sidhani kama ni intention ya Maige hiyo. Anapambana kuhakikisha ya ukabila hamyarudii tena na ndiyo maana ukipata hata ukurugenzi au ukatibu mkuu siku hizi kuna kiapo maalum kwamba hutamuajiri mtu kwa kuwa ni kabila lako au dini yako au ndugu yako au mnatoka kanda moja. Hii ni kuweka usawa na pia kupata watu sio kwa ukabila wao. Mlizidi sana na mkawa hamna hata aibu. TRA kwa mfano, ina maana ni nyie tu ndiyo mlosoma mambo ya taxation? Maana mnazidi asilimia sabini ya waajiriwa wote wa TRA. Acha watu wasemw tuliwachoka na ubinafsi wenu.Kwamba JPM anapambana na "wachaga" waliokuwa "wanatafuna" nchi hii kwa muda mrefu kuanzia huko CRDB mpaka TRA?
Kumbe ni "vita" ya kukomoana kati ya "upande" wa ziwa na ule wa kaskazini??Hii ni hatari sana
Mbona mnalalamika tulieni wengine wasaidiwe na serikali kama nyinyi mlivyosaidiwa na serikali hiyo hiyo huko nyuma!Hahaa hata manazi walitaka Jews wasubiri lakini hadi leo hawajawapata. Mtasubiri sana kuwapata hao mnaodhani mtawafikia. Huo ndiyo ukweli ila vumilia tu
Kama kuna watu wa eneo fulani walichelewa kwenda shule na wachagga walisoma kwa wakati huo itabidii wajilaumu wenyewe. Kumbuka wakati wa utawala wa awamu ya kwanza Mwalimu alitoa elimu bure kwa Watanzania wote leo hii kuwalaumu wachagga ni umasikini wa akili.Wachaga wakibagua sawa ila wakifanya wengine mnalalama!!! Wachaga wasubiri nao ili makabila yaliyo nyuma yasonge!!
Wewe ndo jinga zaidi hutaki wengine waendelee?? Hopeless!Mnafiki mkubwa wewe.....
Unatetea ukabila huku ukionesha chuki yako ya wazi kwa Wachagga halafu unahitimisha uharo wako kwa kupinga ukanda..
Jinga kabisa
....In a quote whole page for commenting just two wordsMaige is right
Mzee Warioba juzi kaongea hapa kwenye kumbukumbu ya Mwalimu Julius Nyerere. Watu walilalamika mwalimu anapendelea wachaga. Walikuwa mawaziri 6 katika 26 kutoka kilimanjaro. Hapo ndiyo walipoanza au mlipoanza kujazana na kuwaona wenzenu wajinga. Na ndicho kinawahangaisha mpaka sasa kupata uongizi wa nchi. Mama Lowasa mwenyewe wakati wa kamoeni za uchaguzi 2015 alisikika akisema wazi akiwa kilimanjaro kuwa wachaga popote mlipo mchague mume wake kwa kuwa mko wengi kila pahali. Hahahahaaaa. Clip ipo. Mnabisha nini? Wabinafsi namba moja.Labda watuambie ni lini Wachaga waliwahi kuongoza hii nchi? Was Nyerere, or Mwinyi, or Mkapa, or Kikwete the Chagga? Je hawakuona huo Uchaga kwenye hizo sekta? Hivi Wachaga Wana rasilimali gani ukiondoa Kilimanjaro na uzilinganishe na Nyamongo, Mwaduwi, Geita, Buzwagi(to mention the few)+ Ziwa Victoria ambavyo vyote hivi vipo Lake Zone? Hivi matatizo yatokanayo na Ujinga wenu ni lazima muwasingizie watu ili ku justify vilio vyenu? Maige nimekudharau, akili yako ndogo sana, wewe ni punguani!
Kama kuna watu wa eneo fulani walichelewa kwenda shule na wachagga walisoma kwa wakati huo itabidii wajilaumu wenyewe. Kumbuka wakati wa utawala wa awamu ya kwanza Mwalimu alitoa elimu bure kwa Watanzania wote leo hii kuwalaumu wachagga ni umasikini wa akili.
Kama Msuya ameweza kupeleka umeme mpaka milimani, Mkapa alishindwa nini kuwapelekea ndugu zake?? Au kakosa sifa za "uchaga"?Msuya mpare lakini ni wale wale.Umeme kapeleka mpaka milimani
Hata kama ni private but inaonyesha mfano kwa hawa watu walivyo wabinafsi
nonsense, idiot!Mtu akiongelea ukweli ni dhambi, si uliona hata kura zilizopatikana Arusha na Kilimanjaro? Uliona malalamiko dhidi ya vifungo vya akina Mramva na Yona? Si mliona njama na kampeni za Kaskazini dhidi ya mawaziri wote wa kanda ya Ziwa, akina Muhongo,Tibaijuka, Masilingo, Kaijage, Werema, Diallo, Chenge eti wote mafisadi. Lakini Lowasa kwa vile tu wa Kaskazi ni mtakatifu. Njama hizi hazina nafasi kwenye awamu ya Tano, sasa hivi wamekazana kumuandama Rc Makonda kwa kumtumia Gwajima mchungaji feki, kwa vile tu kawaumbua akina Mbowe wachagga juu ya ushiriki wao ktk biashara ya mihadarati. Wachagga ndiyo wale wale walioanzisha njama ya kuligawa Taifa chini ya Chief Maliale pale alipidai Uhuru wa Kilimanjaro, kauli ambayo chini ya Chadema iliendelezwa mbunge Joshua Nassari kwa kutamka hadharani kwenye mkutano wa hadhara kuwa bora Kilimanjaro iwe nchi ili mlima Kilimanjaro uunufaishe mkoa huo. Hivyo siyo Siri kuwa Wachagga pamoja na jirani zao wanao mpango wa kuligawa Taifa hili na bila JPM kuchukua hatua stahiki hawa waliojichimbia ktk taasisi mvali mbali wangeimalize nchi hii. Hebu angalia mifano mingine michache, Musuya aliweka Umeme hadi milimani na mihombani wakati yeye alikuwa Waziri wa nchi nzima, un equal distribution of the national cake, Mtei hadi leo amehodhi barabara za huko kwao mabasi ni ya watu wa huko tu, mtu kutoka usukumani au hata kwingineko akipeleka basi lake lile kundi la vijana wa mtei liko tayari kutega misumari kwenye basi hilo, Mrema aliwahi kwenda nje ya nchi na kutafuta soko la Kahawa ya Kilimanjaro tu ili hali akijua kahawa inalimwa pia mikoa mingine, Dsm ccm ilishindwa kutokana na biashara nyingi kama vile baa, hotel, majunba ya starehe, kumbi, zinamilikiwa na Wachagga, hivyo kipindi cha kampeni ilifanyika kampeni kubwa kuhakikisha ccm haipiti ilihali wak8jua kuwa chadema haitawasaidia chochote kama tunavyoona hadi sasa, hakuna diwano yeyote wa chadema anayeweza kusema amewafanyia nini wana Dares salama. Kama nasema uongo toeni mfano kuwa tangu chadema imeteka jiji la Dar nini kimefanyika bila kuihisisha illani ya CCM. JAMANI WACHAGGA NI HATARI NA NOMA.
Watu mnasubiri serikali iwachimbie vyoo vyoo hamtaendelea milele. Jiongezeni. Serikali haiwezi kufanya kila kitu.Acha uongo miradi mingi sana ilielekezwa kaskazini hasa kilimanjaro. Subirini na nyinyi na wengine waendelee
Uliona wapi wachaga wanalalamika? Wachaga wanawahi fursa tu hawalalamiki. Endelea kusubiri serikali iwasaidie. Mtasubiri hadi siku atakaporudi Masiha.Mbona mnalalamika tulieni wengine wasaidiwe na serikali kama nyinyi mlivyosaidiwa na serikali hiyo hiyo huko nyuma!