Mbunge Esther Matiku Hajui Kiswahili AU Mikogo tu ya Kiswa-english?

Nami ktk hili cjakubali linipite bila kuchangia! Huyu Honourable mi nshamckia lon' tym nikadhani anan'chefua mi peke yng atii! Sasa hilo la kumix language ni 9! 10 Mh. huyu ananichefua zaidi pale anapo'use R instead of L! kwenye L yeye ata'put R ! Mfano neno PROGRESS ana'pronounse PLOGLESS! au COLLECTIVE= CORRECTIVE, SUNGURA= SUNGULA, hii ni nini km si Rubish! Kuna umahiri gn wa ubingwa mjengoni Mbunge aongee lugha asiyoifahamu vyema? HAIPENDEZI & HAINA MASLAHI.
Wewe ndiyo umeharibu zaidi ya Esther kiswahili si kiswahili kingereza si kingereza kiswa-nglish si kiswa-nglish ulichoandika ni lugha ya mitaani ambayo haijagunduliwa, unajua hata kuchanganya lugha nayo inahitaji ujuzi unapoandika anapo'use au ata'put unaonekana hujui matumizi ya lugha zote mbili.
 
The most pathetic thing is for a slave who does not know that he is a slave. This lady is a victim of mental slavery, believing that everything originating from a white man is the only to be honored.
 
The most pathetic thing is for a slave who does not know that he is a slave. This lady is a victim of mental slavery, believing that everything originating from a white man is the only to be honored.
Kwa hiyo wewe ni victim tayari unachokifanya ni kuwatahadharisha wengine........kweli nyani halioni lake.
 
mtu mbaya ni yule anayemnyamazia mtu mwovu anapotenda baya....yaani unataka kumtetea na ktk hili jamani. Basi humpendi mwenzako. Mshauri asiuzie sura bungeni hawana utani hao asije akaathirika bure...ila mimi pia kameni...vutia sana she is sexy....only not realistic. Hivi kameolewa haka kweli...jamani chadema kuna vitu...ila hata ccm vipo sema vimejichimbia nadra kuviona vipo uvccm zaidi
 
Kama amechangia vizuri well and good.But the issue is hawa dada zetu walio wengi kiuga kwingi mpaka wana bore sio yy tu....Wapo wengine wanavyofika vyuoni wanakuwa wanaongea vizuri ila as tyme goes ni wanabana pua mpaka kero kuchanganya lugha at least we can torelate but huko kubana pua na kutingisha vichwa kama wazungu ni kuiga tu. Kila mdada anatakakufanana na Rihana kwenye nywele nata kuongea pia ko inawezekana nae mh katoka huku huku mda si mrefu
 
UKIONA MTU ANATUMIA LUGHA MBILI KWA WAKATI MMOJA, UJUE ANA UMASKINI WA MISAMIHATI KWENYE LUGHA ZOTE MBILI. KWA HIYO ANATUMIA ZOTE KUPIGANA JEKI. ni kweli Watanzania wengi tunazungumza kiswahili Ila hatuna misamihati ya kutosha haswa inapokuja Kukizungumza kiswahili hiki katika maofisi na biashara. kINGEREZA ndio janga la kitaifa.
 
Esther Mattiku sikujua kama hajui Kiswahili mpaka nilipo mwona akichangia sasa hivi hotuba ya Wizara ya Kazi na Vijana
Huyu Mbunge wa viti maalum wa CHADEMA hajanifurahishi sana anavyojaribu kukinyonga kiswahili kiwe kiingereza.

Hivi kama unahisi umekaa nje sana na lugha ya kiingereza imekuathiri sana kwa nini usimwombe tu Spika uchangie kwa lugha ya KIINGEREZA kuliko kutumia Kiswahili ambacho hukijui sawasawa. Unapochanganya Kiswahili na kiingereza kwa kiasi kikubwa namna hii unatuudhi sisi wazalendo.

Namwomba wakati mwingine achangie kwa lugha anayoifahamu vyema la sivyo tutaanza kuona analichora bunge kwa mikogo ya kiswa english chake fake. Be NATURAL!!!!!!!!!!
l


Mbona Kagasheki alichanganya kiswahil na kiingreza alipokuwa anajibu hotuba ya Lema au kwa vilE YEYE ni NSHOMILE
 
Nisaidieni:Hivi zipo tafiti na takwimu za Tanzania zinazoonesha ni kwa namna na kiasi gani kiswa nglish kinavyotuathiri hasa kiuchumi??..kenya&ug hali ni mbaya zaidi...mi naona huyu 'Mvumbuzi' ana chuki binafsi tu...maana kwa kuhusianisha kiswanglish chake na ubanaji pua imedhihirisha wazi..hivi tafakari kwa makini...umesoma shule ya msingi mk 7 kwa kiswahili,toka hapo mpaka chuo ni kiingereza,nyumbani na mtaani ni kiswahili na pengine lugha mama,unategemea usipate athari za kuchanganya lugha.?? Ww kuandika tu umeshachanganya.toa sababu za msingi
 
Wenye shida ya Chai Uganda , kwani sukari Kilo shs 5000, ila mimi sina haja nayo wala ntu wa kunywa naye nina Nke eti ndio huwa nakunywa naye chai tu na ananitosha.
Ungempostia mkee hiki kitu mkajadili wakati mnakunywa chai na si kutuletea wanaume jamvini
 
Huyu Esther wa Musoma mbona mimi nimeishaogea nae kiswahili mara nyingi tu!
Kabadilika nini tena?
 
Esther ni mwanasiasa mzuri sana....Kiswahili hakifahamiki sawasawa na watanzania walio wengi,Kiingereza ndiyo usiseme.Sasa sijui tutafikia hatua sasa tuataanza kuchangia kwa mother tongue

Kwa mfano mchango wa Esther wa Leo ni mzuri sana na watanzania wamemuelewa.Kinachohitajika ni mawazo huru,fikra pevu na uwezo wa kuhamasisha na kuongoza wale anaowawawakilisha au kuwaongoza

Guys,Are you insinuating that she's not wordsmiths? Or are you exasperated about her oratorical style?
tulisikia umepotea kamada
 
Back
Top Bottom