MVUMBUZI
JF-Expert Member
- Jan 8, 2011
- 5,182
- 2,304
Esther Mattiku sikujua kama hajui Kiswahili mpaka nilipo mwona akichangia sasa hivi hotuba ya Wizara ya Kazi na Vijana
Huyu Mbunge wa viti maalum wa CHADEMA hajanifurahishi sana anavyojaribu kukinyonga kiswahili kiwe kiingereza.
Hivi kama unahisi umekaa nje sana na lugha ya kiingereza imekuathiri sana kwa nini usimwombe tu Spika uchangie kwa lugha ya KIINGEREZA kuliko kutumia Kiswahili ambacho hukijui sawasawa. Unapochanganya Kiswahili na kiingereza kwa kiasi kikubwa namna hii unatuudhi sisi wazalendo.
Namwomba wakati mwingine achangie kwa lugha anayoifahamu vyema la sivyo tutaanza kuona analichora bunge kwa mikogo ya kiswa english chake fake. Be NATURAL!!!!!!!!!!
Huyu Mbunge wa viti maalum wa CHADEMA hajanifurahishi sana anavyojaribu kukinyonga kiswahili kiwe kiingereza.
Hivi kama unahisi umekaa nje sana na lugha ya kiingereza imekuathiri sana kwa nini usimwombe tu Spika uchangie kwa lugha ya KIINGEREZA kuliko kutumia Kiswahili ambacho hukijui sawasawa. Unapochanganya Kiswahili na kiingereza kwa kiasi kikubwa namna hii unatuudhi sisi wazalendo.
Namwomba wakati mwingine achangie kwa lugha anayoifahamu vyema la sivyo tutaanza kuona analichora bunge kwa mikogo ya kiswa english chake fake. Be NATURAL!!!!!!!!!!