Mbunge Elibariki Kingu alipangwa kumnanga Bishop Gwajima au ndiyo kujipendekeza?

Huyu alikuwa anaonekana kama mmojawapo wa wabunge wasio na maana sana bungeni. Lakini kwa jana ameonekana kama vile anaanza kutumika kama game changer! Wangeongea aliyanena jana akina Nape na Janauri basi mjadala ungekuwa sio mjadala tena bali mipasho.

Huyu EK ni nani? Je uwakilishi wake kwenye jimbo la kwao Iramba Mashariki ukoje? Anatumika na Samia na Serikali yake ili kumtetea against pro-JPM au ni yeye tu kaamua kujilipua ili apate maujiko? Inaonesha kaifanya Sukuma Gang Camp kuwa kama wamemwagiwa maji. Wapi Msukuma? Wapi Lusinde?
Nikijibu kidogo tu,huyu ni mbunge wa singida Magharibi na ni boga Kama maboga mengine
Tapeli wa kisiasa
 
Huyu alikuwa anaonekana kama mmojawapo wa wabunge wasio na maana sana bungeni. Lakini kwa jana ameonekana kama vile anaanza kutumika kama game changer! Wangeongea aliyanena jana akina Nape na Janauri basi mjadala ungekuwa sio mjadala tena bali mipasho.

Huyu EK ni nani? Je uwakilishi wake kwenye jimbo la kwao Iramba Mashariki ukoje? Anatumika na Samia na Serikali yake ili kumtetea against pro-JPM au ni yeye tu kaamua kujilipua ili apate maujiko? Inaonesha kaifanya Sukuma Gang Camp kuwa kama wamemwagiwa maji. Wapi Msukuma? Wapi Lusinde?
Bongo sehemu kubwa ya wabunge ni maslahi yao hivyo kununulia ni bei ya kifungua kinywa
 
Back
Top Bottom