Utingo
JF-Expert Member
- Dec 15, 2009
- 10,270
- 8,031
ni kinyonga wa kutupwa....soon ataanza lafudhi ya kizanzibariWakati wa awamu ya JPM alikuwa akiiga lafudhi ya Kisukuma ila siku hizi amesharudi kwenye lafudhi yake ya KiMalechela!
ni kinyonga wa kutupwa....soon ataanza lafudhi ya kizanzibariWakati wa awamu ya JPM alikuwa akiiga lafudhi ya Kisukuma ila siku hizi amesharudi kwenye lafudhi yake ya KiMalechela!
Ni afadhali hata kuangalia video za ktk simu yako kuliko kuangalia utopolo wa bunge la vilaza hilo. Yaani hapa Mimi nawashangaa tuu mlio kuwa mkiangalia igizo hilo poleni sana.Hata mimi sijamuelewa Elibariki Kingu kwa jinsi alivyochangia mjadala jana bungeni!
Mkuu punguza munkari meku 🤣Umejiunga jf
23 June 2020
Kwa taarifa hapa jukwaani walikuepo MATAGA lialia ambao hujawafikia hata robo
Ila Leo wamepoteana
Kwanza umepata ajira ?
Sent using Jamii Forums mobile app
Nikijibu kidogo tu,huyu ni mbunge wa singida Magharibi na ni boga Kama maboga mengineHuyu alikuwa anaonekana kama mmojawapo wa wabunge wasio na maana sana bungeni. Lakini kwa jana ameonekana kama vile anaanza kutumika kama game changer! Wangeongea aliyanena jana akina Nape na Janauri basi mjadala ungekuwa sio mjadala tena bali mipasho.
Huyu EK ni nani? Je uwakilishi wake kwenye jimbo la kwao Iramba Mashariki ukoje? Anatumika na Samia na Serikali yake ili kumtetea against pro-JPM au ni yeye tu kaamua kujilipua ili apate maujiko? Inaonesha kaifanya Sukuma Gang Camp kuwa kama wamemwagiwa maji. Wapi Msukuma? Wapi Lusinde?
Hivi ulishaachaga kuvuta bange mate?Mkuu punguza munkari meku 🤣
Niko katika kaajira kangu karibu mkuu....
😲😲Hivi ulishaachaga kuvuta bange mate?
Hapana Mimi sivuti ila nilikuwa nakununulia kete mbili tatu😲😲
Duuh tulikuwa tunavuta wote mkuu?!!
🤣🤣🤣🤣Hapana Mimi sivuti ila nilikuwa nakununulia kete mbili tatu
Tehe tehe tehe au ndiyo unatekeleza majukumu yako?Mkuu punguza munkari meku 🤣
Niko katika kaajira kangu karibu mkuu....
Huyu ni Mnyiramba lakini!Nikijibu kidogo tu,huyu ni mbunge wa singida Magharibi na ni boga Kama maboga mengine
Tapeli wa kisiasa
Yapi hayo mkuu wangu?Tehe tehe tehe au ndiyo unatekeleza majukumu yako?
Bongo sehemu kubwa ya wabunge ni maslahi yao hivyo kununulia ni bei ya kifungua kinywaHuyu alikuwa anaonekana kama mmojawapo wa wabunge wasio na maana sana bungeni. Lakini kwa jana ameonekana kama vile anaanza kutumika kama game changer! Wangeongea aliyanena jana akina Nape na Janauri basi mjadala ungekuwa sio mjadala tena bali mipasho.
Huyu EK ni nani? Je uwakilishi wake kwenye jimbo la kwao Iramba Mashariki ukoje? Anatumika na Samia na Serikali yake ili kumtetea against pro-JPM au ni yeye tu kaamua kujilipua ili apate maujiko? Inaonesha kaifanya Sukuma Gang Camp kuwa kama wamemwagiwa maji. Wapi Msukuma? Wapi Lusinde?
Inawezekana!Jina lake limo kwenye next cabinet hapana shaka anaupiga mwingi