Hakuna shida kumbe hawasomi ni watu Na biashara zao endelea mbunge
Sent using Jamii Forums mobile app
Usikute wao ndo wanamsumbua mbunge wa watuHakuna shida kumbe hawasomi ni watu Na biashara zao endelea mbunge
Sent using Jamii Forums mobile app
MmhhHapa hakuna news bali views tu. News ingekuwa jamaa ni shoga.
Tatizo mnazaliwa wengi sana, sasa tukiwa na mmoja wengine watakufa na genyeili mradi tu uangushe lawama kwa mwanamke....hivi kuzaliwa mwanamke ni kosa kubwa?
Hapo sasa..mwenyewe nimeshangaa sana..huyo Nicole wakati anamkatia miuno mbunge mpk kubeba mimba alikua hajui km ni mume wa mtu..aachr kulalamika..na bado watabwagwa sana...mali ya watu hiyo..mwsho wa siku anarudi kwa mkewe maisha yanasonga..Alivyozaa na mume wa mwenzie hakujua kama mkewe itamuuma? Amkatae hivo hivo akome, mume wa mtu mtamu ila usimzaliee...kwake akimbie mikojo na kelele za watoto, na kwako tena yaleyale atapeperuka tu
Upo sahihi kaka, Mwenyekiti uzalendo ulimshinda aliamua kuagiza mzigo uende KIA, hapo kati patamu.Hivi hiki kikombe cha kuzaa na kungonoka nje ya ndoa kwa hawa waheshimiwa kinaweza kumuepuka MTU?
Sent using Jamii Forums mobile app
Unafiki pia umetujaa mkuu. Lakini ni kweli usemacho, ikitokea mambo ya kila mwenye ndoa yadhihirike hakuna atakayebaki salama. Mimi bado natafuta ukweli huko kwenye Theology kama ni kweli Muumba aliagiza wengine waoe mke mmoja pekee.Ubaya huko wapi hapo?
Mbona haya wanaume wengi tunayafanya sema kutokuwa maarufu ndio kunatusaidia siri zetu zisibumbuluke.
Huyo kwingu sema tatizo lake umaarufu ila Mimi sijaona kama tatizo sana kwa anayoyafanya ukizingatia bado "kijana".
Labda kama wewe ni mke wake umeumia.
Sasa Mtoto kama huyo mwenye gauni la bluu unamuachaje kwa mfano?
Wanawake tunatakiwa tujue tukiamua kuzaa watoto ni jukumu letu na si la mume. Mwanaume akihudumia mtoto tumshukuru aliye juu. Sasa mtu ana watoto home na mkewe wa ndoa, bidada alifikiri yeye akizaa naye atakuwa na watoto gani special hadi amuache mkewe akamuoe yeye? Wnaume siyo walezi jamani. Tena kwa usawa huu wa Ngosha ambao kuwa na mademu wengi hailipi kama zamani, hakuna wanaume waleaji watoto.Hapo sasa..mwenyewe nimeshangaa sana..huyo Nicole wakati anamkatia miuno mbunge mpk kubeba mimba alikua hajui km ni mume wa mtu..aachr kulalamika..na bado watabwagwa sana...mali ya watu hiyo..mwsho wa siku anarudi kwa mkewe maisha yanasonga..
WANAWAKE TUACHE UBINAFSI...akome nyoko nyoko zake...yamemkuta