Mbunge Deo Sanga: Kikwete, Nape na Ndugai wasisemwe vibaya mitandaoni

Wanademka tu!

Ingawa hilo la JK kutuhumiwa na kutajwa kwenye "kuondoka" kwa mwendazake pia ni tatizo. Needs to be addressed ASAP.
 
Wakati Rais aliyefariki anasemwa vibaya mitandaoni mbona hakukemea ? Kiongozi yeyote kusemwa haikwepeki. Pamoja na hayo sisi watanzania bado ni wamoja na undugu wetu uko pale pale kuanzia visiwani mpaka bara. Mbona waasisi wetu akina Nyerere na Kawawa na wengineo waliohatarisha maisha yao kudai uhuru walisemwa sana ? Kwa nini Nape na Kinana tu wasisemwe ?
 
Sawa ngoja tuheshimu wazee tusije laanika,, hatutawasema tena vibaya viongozi wetu wastaafu lakini tunaamini katika "KARMA" lazima italipa,, hapa hapa duniani..
 
Wakinga lini wataacha tabia ya kupeleka darasa la 7 mle bungeni.
Darasa la 7 wote huwa wanajadili watu badala ya hoja mezani.
Mnatukosea sana, mbunge ni kwa faida ya nchi sio jimbo tu.Wakinga msirudie tena 2025 kuchagua la7 hata kama ana wahonga mapesa, msimchague tena.
 
Sasa jah people anajua kazi ya mitandao?

Mbona hata mjomba wake ambaye ni mganga mkuu wa kuwapa utajiri wakinga huwa anaandikwa mitandaoni?!
 
Uyu mzee wa mitano tena anabadili upepo wa mapambio kaona hawa akiwatetea watamkumbuka kwenye ufalme wao wa mama
 
JK kayataka mwenyewe angetulia km mheshimiwa,
Wanademka tu!

Ingawa hilo la JK kutuhumiwa na kutajwa kwenye "kuondoka" kwa mwendazake pia ni tatizo. Needs to be addressed ASAP.
akumbuke kabaki peke yake,atunze legacy yake aache ujana,pia aieleze familia yake itulie iachane na ufisadi na tuhuma za ajabu,la sivyo atakuja kuzeeka vibaya,angalau siku hizi Ridhiwani na mama wametulia na saga za ajabu naye atulie,kuonekana kwake kuwe ktk matukio maalum
 
Back
Top Bottom