Ibofwee
JF-Expert Member
- Apr 1, 2017
- 1,305
- 2,449
Huyu Mbunge kwanini anamjalibu Katibu Mkuu Bashiru? Hakumsikia Nkamia alivyoambiwa?View attachment 1065240
MBUNGE wa Makambako, Deo Sanga maarufu Jah People (CCM), ameshauri Rais John Magufuli kuongezewa kipindi kimoja cha uongozi ambacho badala ya kumaliza urais mwaka 2025, akae hadi mwaka 2030. “Rais wetu (Magufuli) ana maono makubwa ya kuikisha mbali nchi yetu, hivyo aombewe awe rais wa kudumu, aongezewe kipindi kimoja hadi mwaka 2030, “Mimi na wenzangu tutatembea nchi nzima kumuombea…ikika mwaka 2021 wabunge tuanze kutembea nchi nzima kumuombea Rais Magufuli aongezewe muda,” alisema Sanga.
Mbunge huyo aliyewahi kuwa Mwenyekiti wa CCM Mkoa wa Iringa, alitoa maoni yake hayo wakati akichangia Mapitio na Mwelekeo wa Kazi za Serikali na Makadirio ya Mapato na Matumizi ya Fedha kwenye Osi ya Waziri Mkuu na Osi ya Bunge kwa mwaka 2019/2020 yaliyowasilishwa juzi na Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa.
Naye Mbunge wa Kijitoupele, Shamsi Vuai Nahodha (CCM) alisema Rais Magufuli ana maono ya kulipeleka Taifa mbali zaidi na kuachana na kupitisha bakuli kwa wafadhili kuombaomba, hivyo kuwataka Watanzania kufanya kazi kwa bidii ili Taifa lijitosheleze. Kwa upande wake, Mbunge wa Kilombero, Peter Lijuakali (Chadema)alisema “Inasikitisha wabunge wana mawazo ya kutaka Katiba ifanyiwe marekebisho makubwa ili rais aongezewe muda…inafedhehesha sana.
” Hata hivyo, Rais Magufuli mara kadhaa ameshasema hana mpango wa kuongeza muda wa uongozi na ikika muda wake wa kuachia madaraka, atafanya hivo tarehe hiyohiyo anayotakiwa kufanya hivyo. Mbunge wa Moshi Mjini, Jaffar Michael (Chadema) alitaka wafanyabiashara wa masoko kutopewa vitambulisho vya ujasiriamali kwani kumesababisha halmashauri kukosa mapato na kushindwa hata kulipia gharama za kusasha masoko hayo.
Mbunge wa Kuteuliwa, Abdallah Bulembo (CCM), alitaka Wizara ya Madini na Tume ya Madini kuwasimamia watendaji wao wanaowanyima leseni wachimbaji madini walio sa, wasio na matatizo na wanaotaka kulipa kodi. Mbunge kutoka Baraza la Wawakilishi Zanzibar, Jaku Hashim Ayoub (CCM) aliitaka serikali kuwapeleka Zanzibar viongozi mashuhuri wanaotoka nje ya nchi wanaotembelea Tanzania.
Hana akili huyu.. ndio aliye cheza nusura suruali imdondoke wapipo pitisga sifa ya kuwa mbunge ni kusoma na kuandika.View attachment 1065240
MBUNGE wa Makambako, Deo Sanga maarufu Jah People (CCM), ameshauri Rais John Magufuli kuongezewa kipindi kimoja cha uongozi ambacho badala ya kumaliza urais mwaka 2025, akae hadi mwaka 2030. “Rais wetu (Magufuli) ana maono makubwa ya kuikisha mbali nchi yetu, hivyo aombewe awe rais wa kudumu, aongezewe kipindi kimoja hadi mwaka 2030, “Mimi na wenzangu tutatembea nchi nzima kumuombea…ikika mwaka 2021 wabunge tuanze kutembea nchi nzima kumuombea Rais Magufuli aongezewe muda,” alisema Sanga.
Mbunge huyo aliyewahi kuwa Mwenyekiti wa CCM Mkoa wa Iringa, alitoa maoni yake hayo wakati akichangia Mapitio na Mwelekeo wa Kazi za Serikali na Makadirio ya Mapato na Matumizi ya Fedha kwenye Osi ya Waziri Mkuu na Osi ya Bunge kwa mwaka 2019/2020 yaliyowasilishwa juzi na Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa.
Naye Mbunge wa Kijitoupele, Shamsi Vuai Nahodha (CCM) alisema Rais Magufuli ana maono ya kulipeleka Taifa mbali zaidi na kuachana na kupitisha bakuli kwa wafadhili kuombaomba, hivyo kuwataka Watanzania kufanya kazi kwa bidii ili Taifa lijitosheleze. Kwa upande wake, Mbunge wa Kilombero, Peter Lijuakali (Chadema)alisema “Inasikitisha wabunge wana mawazo ya kutaka Katiba ifanyiwe marekebisho makubwa ili rais aongezewe muda…inafedhehesha sana.
” Hata hivyo, Rais Magufuli mara kadhaa ameshasema hana mpango wa kuongeza muda wa uongozi na ikika muda wake wa kuachia madaraka, atafanya hivo tarehe hiyohiyo anayotakiwa kufanya hivyo. Mbunge wa Moshi Mjini, Jaffar Michael (Chadema) alitaka wafanyabiashara wa masoko kutopewa vitambulisho vya ujasiriamali kwani kumesababisha halmashauri kukosa mapato na kushindwa hata kulipia gharama za kusasha masoko hayo.
Mbunge wa Kuteuliwa, Abdallah Bulembo (CCM), alitaka Wizara ya Madini na Tume ya Madini kuwasimamia watendaji wao wanaowanyima leseni wachimbaji madini walio sa, wasio na matatizo na wanaotaka kulipa kodi. Mbunge kutoka Baraza la Wawakilishi Zanzibar, Jaku Hashim Ayoub (CCM) aliitaka serikali kuwapeleka Zanzibar viongozi mashuhuri wanaotoka nje ya nchi wanaotembelea Tanzania.
Duh! Mbona hapatatosha?Nyongeza ya mishahara hadi 2030 wakati mmestaafu.
Hivi kuna sababu ya huyu Mh. kuchaguliwa tena,Dr Bashiru aliongea kiswahili tukamuelewa, Mh.nadhani hakumuelewa au ni utovu wa nidhamu kwa Katibu Mkuu..........anyway...!!!Time will tell.Hana akili huyu.. ndio aliye cheza nusura suruali imdondoke wapipo pitisga sifa ya kuwa mbunge ni kusoma na kuandika.
Deo sanga hakumaliza darasa la.saba
Sent using Jamii Forums mobile app
Uliza kwanza shule yake msimlaumu tu jaman ?Arudi akasome katiba inasemaje kuhusu muda wa rais .kuwa madarakani ..asitujaribu akili
Hapana huyu si ndiye aliyecheza kiduku ndani ya ukumbi wa Bunge la katiba baada ya kupitisha mapendekezo ya mbunge lazima ajuwe kusoma na kuandika bila kujali hata kama hakumaliza darasa la Saba, DAB kwenye serikali ya Magufuri wapo wengi! maneno mengi maarifa zero usanii na matumizi ya nguvu ndiyo unatawala kwa sasaMimi ni Mkinga ila siamini kama huyo ni Mkinga mwenzangu maana hana akili timamu