beth
JF-Expert Member
- Aug 19, 2012
- 3,877
- 6,326
Mbunge Deodatus Mwanyika (Njombe) amesema inaonekana hakuna Mkakati wowote katika Mradi huo wa Makaa Ya Mawe unaotajwa kuwa wa kimkakati, kwani hakuna taarifa zozote zinazotolewa kuhusu mazungumzo yalipofikia
Ameeleza, "Sisi Watanzania ni watu wa ajabu. Tuna Makaa ya Mawe ambayo bei yake ni nzuri lakini bado tunafanya mchezo na mradi huu. Ni mchezo kwasababu hatuelewi umefikia wapi"
Ameongeza kuwa, inaonekana kama Shirika la Taifa la Maendeleo ambalo linabeba jukumu la kuendeleza Mradi halina uwezo, au watu wanaohusika katika Majadiliano hawajafika mahali ambapo wanaweza kusema tatizo ni nini
Ameeleza, "Sisi Watanzania ni watu wa ajabu. Tuna Makaa ya Mawe ambayo bei yake ni nzuri lakini bado tunafanya mchezo na mradi huu. Ni mchezo kwasababu hatuelewi umefikia wapi"
Ameongeza kuwa, inaonekana kama Shirika la Taifa la Maendeleo ambalo linabeba jukumu la kuendeleza Mradi halina uwezo, au watu wanaohusika katika Majadiliano hawajafika mahali ambapo wanaweza kusema tatizo ni nini