Kachengcheng
JF-Expert Member
- Dec 21, 2020
- 1,551
- 978
Kwani walikuwa wanataka avae Buibui😠😠😠Nguo ambazo amevaa ni desent na si Fupi ila Ni Smart#Women Lives Matter👊👊🔥🔥
Huu Ni Upuzi mtupu,wawache wanawake wawe wanawakeðŸ˜
Kha!Huyu
Huyu Mbunge noma sana kwanza alifika Dodoma na kwenda Chako ni Chako bar kuhesabu kuku zinavyo liwa kesho yake akapeleka bungeni kuongeza kodi Mzee wa hovyo sana
True fuatilia alivyo changia bungeniKha!
Kwa mara ya pili. . . Khah!True fuatilia alivyo changia bungeni
Dera pia sio vazi la kibunge.. hahahahNext time avae dera...
Ukiona Baba anaangalia binti makalioni muogope ana lake. Nimefufua Ka Uzi nimepata blauzi kama ya Conjesta Jumatatu natinga Ku office.Jamani kuna yeyote yule ambae ameona distance iliyopo baina ya alipo mlalamikaji na alipo mlalamikiwa? Pia ni mie pekee yangu nilieona kuwa kwa distance iliyopo nimeshindwa kujua ni vipi mlalamikaji aliona alichovaa huyu dadakuanzia kiunoni kwenda chini? Nadhani kulikuwa na haja ya mbunge yeyeote yule kutoa hoja kutaka kujua kilichomfanya mlalamikaji ageuze shingo na macho yake kumuangalia sehemu za chini ya kiuno huyu mwanamke ambae alikuwa mbali kabisa na alipokuwa amekaa yeye!
kwani kuolewa ni sifa, acha ubwege mtu mzima ovyoooooNdiyo maana hayaolewi haya majinga
Kuolewa Ni tendo lililo hata kwenye maandishi matakatifu.kwani kuolewa ni sifa, acha ubwege mtu mzima ovyooooo
Toka lini hizo rangi zikawa hazina heshima! Mbona kuna mwingine huzivaa shingoni? Labda tai ndiyo imezidi urefu.Mbunge wa Momba Condester Michael Sichalwe ametolewa ndani ya ukumbi wa Bunge ili akabadilishe mavazi yake baada ya Mbunge wa Nyangw'ale Hussein Nassor Amar kuomba muongozo wa Spika kuwa kuna baadhi ya Wabunge wamevaa mavazi yasiyo na maadili.
Spika baada ya kumuamrisha kuondoka Bungeni pia aliwaambia askari wa Bunge, kuanzia sasa mbunge yeyote atakaevaa mavazi yasiyo na Staha na kinyume na kanuni waishie getini. Sakata hilo lilianza kwa mbunge mwenzake kuomba muongozo wa spika akimtolea mfano kama mbunge aliyevaa mavazi yasiyo na staha.
Asanteni kwa kuonyesha usaarabu jukwaani! Huu ndio Utanzania.Pia nawe mkuu