Mbunge CHADEMA atishiwa maisha, kisa fomu dhidi ya Mbowe

blix22

JF-Expert Member
Jun 23, 2013
213
645
Hii ni aibu yetu sote

Yanayoendelea ndani ya Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA), yanasikitisha.

Pamoja na wabunge kadhaa wa Chama hicho kuparurana na kutukanana hadharani kisa suala la Mbowe kugombea tena Uenyekiti, sasa hali ya Mbunge wa Chama hicho Cecil Mwambe aliyetangaza kuchukua fomu dhidi ya Mbowe ni mbaya.

"Amelazimika kuishi kwa tahadhari kubwa. Amepanikisha wakubwa zake," kinasema chanzo cha kuaminika.

Mbunge huyo amelaumiwa hadharani na Peter Msigwa Mbunge wa Iringa Mjini kwa kuchukua fomu. Inaelezwa kuwa sasa pia amepokea vitisho kadhaa dhidi ya maisha yake.

"Ndio maana tunasema hiki chama na kwa ujumla upinzani mzima hapa nchini haujajiandaa kuishi katika zama za demokrasia. Amin nawaambieni ni heri CCM inayojibadilisha kila siku kuliko wapinzani wanaodhalilika kila siku kwa kutokiwa tayari kwa mabadiliko," anasema Mchungaji Munga Keason wa Kanisa la Peace and Gospel Fellowship.

Wakati Mwambe akiwa anaishi uhamishoni, mwenzake anayedaiwa pia kwamba atachukua fomu ya Uenyekiti, Mzee Sumaye, amekipata kinachomstahili.

Ameshindwa na kivuli chake. Yani kagombea uenyekiti Kanda ya Pwani akiwa yeye tu lakini wapigakura wamekichagua kivuli chake kwa kura 48 halafu yeye halisi kapata kura 28. Kivuli kimeshinda!

"Na kivuli hicho ni Meya wa Ubungo Chadema ambaye aliongoza fitna ya kumwangusha Sumaye kisa anataka Mtu wake yaani Mbowe apite bila kupingwa Uenyekiti licha ya kuwa ameishi zaidi ya mida wa kikatiba."
 
Acha porojo, chadema sio ccm, wewe utakuwa umetumwa, i think your way of thinking is too shallow to comprehend how politics works, if anyone has been threatened by mbowe, why not report to police and ccmpolisi will be more than happy to arrest and charge mbowe in court, for thats their goal everyday, stop having fermented porrige in you instead of having brains pls
 
Idiot
Acha porojo, chadema sio ccm, wewe utakuwa umetumwa, i think your way of thinking is too shallow to comprehend how politics works, if anyone has been threatened by mbowe, why not report to police and ccmpolisi will be more than happy to arrest and charge mbowe in court, for thats their goal everyday, stop having fermented porrige in you instead of having brains pls
 
Hii ni aibu yetu sote

Yanayoendelea ndani ya Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA), yanasikitisha.

Pamoja na wabunge kadhaa wa Chama hicho kuparurana na kutukanana hadharani kisa suala la Mbowe kugombea tena Uenyekiti, sasa hali ya Mbunge wa Chama hicho Cecil Mwambe aliyetangaza kuchukua fomu dhidi ya Mbowe ni mbaya.

"Amelazimika kuishi kwa tahadhari kubwa. Amepanikisha wakubwa zake," kinasema chanzo cha kuaminika.

Mbunge huyo amelaumiwa hadharani na Peter Msigwa Mbunge wa Iringa Mjini kwa kuchukua fomu. Inaelezwa kuwa sasa pia amepokea vitisho kadhaa dhidi ya maisha yake.

"Ndio maana tunasema hiki chama na kwa ujumla upinzani mzima hapa nchini haujajiandaa kuishi katika zama za demokrasia. Amin nawaambieni ni heri CCM inayojibadilisha kila siku kuliko wapinzani wanaodhalilika kila siku kwa kutokiwa tayari kwa mabadiliko," anasema Mchungaji Munga Keason wa Kanisa la Peace and Gospel Fellowship.

Wakati Mwambe akiwa anaishi uhamishoni, mwenzake anayedaiwa pia kwamba atachukua fomu ya Uenyekiti, Mzee Sumaye, amekipata kinachomstahili.

Ameshindwa na kivuli chake. Yani kagombea uenyekiti Kanda ya Pwani akiwa yeye tu lakini wapigakura wamekichagua kivuli chake kwa kura 48 halafu yeye halisi kapata kura 28. Kivuli kimeshinda!

"Na kivuli hicho ni Meya wa Ubungo Chadema ambaye aliongoza fitna ya kumwangusha Sumaye kisa anataka Mtu wake yaani Mbowe apite bila kupingwa Uenyekiti licha ya kuwa ameishi zaidi ya mida wa kikatiba."

Stori + stori!

GTFOH
 
Chadema kwakweli nilikuwa nawaamini sana lkn baada ya kigundua wapo kimaslai nimerudi nyumbani kumenoga.
 
Hii ni aibu yetu sote

Yanayoendelea ndani ya Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA), yanasikitisha.

Pamoja na wabunge kadhaa wa Chama hicho kuparurana na kutukanana hadharani kisa suala la Mbowe kugombea tena Uenyekiti, sasa hali ya Mbunge wa Chama hicho Cecil Mwambe aliyetangaza kuchukua fomu dhidi ya Mbowe ni mbaya.

"Amelazimika kuishi kwa tahadhari kubwa. Amepanikisha wakubwa zake," kinasema chanzo cha kuaminika.

Mbunge huyo amelaumiwa hadharani na Peter Msigwa Mbunge wa Iringa Mjini kwa kuchukua fomu. Inaelezwa kuwa sasa pia amepokea vitisho kadhaa dhidi ya maisha yake.

"Ndio maana tunasema hiki chama na kwa ujumla upinzani mzima hapa nchini haujajiandaa kuishi katika zama za demokrasia. Amin nawaambieni ni heri CCM inayojibadilisha kila siku kuliko wapinzani wanaodhalilika kila siku kwa kutokiwa tayari kwa mabadiliko," anasema Mchungaji Munga Keason wa Kanisa la Peace and Gospel Fellowship.

Wakati Mwambe akiwa anaishi uhamishoni, mwenzake anayedaiwa pia kwamba atachukua fomu ya Uenyekiti, Mzee Sumaye, amekipata kinachomstahili.

Ameshindwa na kivuli chake. Yani kagombea uenyekiti Kanda ya Pwani akiwa yeye tu lakini wapigakura wamekichagua kivuli chake kwa kura 48 halafu yeye halisi kapata kura 28. Kivuli kimeshinda!

"Na kivuli hicho ni Meya wa Ubungo Chadema ambaye aliongoza fitna ya kumwangusha Sumaye kisa anataka Mtu wake yaani Mbowe apite bila kupingwa Uenyekiti licha ya kuwa ameishi zaidi ya mida wa kikatiba."

Katika uchaguzi wa Chadema kuna watu wasiojulikana wanania ya yakuuharibu uchaguzi mtaona mengi .
 
Andika tu kwa kiswahili utaeleweka. Hapo hata mie ambe sio linguistician nikisahihisha unapata 10% tu. Hizi diploma za kupewa ni shida sana aisee.
Acha porojo, chadema sio ccm, wewe utakuwa umetumwa, i think your way of thinking is too shallow to comprehend how politics works, if anyone has been threatened by mbowe, why not report to police and ccmpolisi will be more than happy to arrest and charge mbowe in court, for thats their goal everyday, stop having fermented porrige in you instead of having brains pls
 
Mbunge huyo amelaumiwa hadharani na Peter Msigwa Mbunge wa Iringa Mjini kwa kuchukua fomu. Inaelezwa kuwa sasa pia amepokea vitisho kadhaa dhidi ya maisha yake.
Kama ni kweli na inawezekana kabisa kuwa hivyo, basi hawa nao wanastahili kupelekwa huko SHENZISTAN. Mimi sioni ubaya wa Mbowe kuendelea lakini si kwa njia ya kutisha wanaotaka wagombee kiti hicho kikatiba. Haya ndio yanayotufanya tusiwe na vyama.
 
2 Reactions
Reply
Back
Top Bottom