Crashwise
JF-Expert Member
- Oct 23, 2007
- 22,227
- 8,741
Leo mbunge wa arusha mjini (Godbless Lema) alipata nafasi ya kuwa shukru wa kazi wa Arusha mjini na kutoa vipaumbele kuwa ni (1) kujenga hospitali kubwa ambao mchakato umeshanza ndani ya wiki moja atapewa eneo la heka tatu ambako hospitali hiyo itajengwa, kipaumbele cha pili ni kulipia ada watoto wote ambao wazazi wao hawana uwezo ambao amepaga kusaidia watoto wasio pungua mia tano (500) na tarehe 17-12-2010 kutakuwa na kuchangia mfuko huu ambao Slaa atakuwepo kumpa sapoti, kipaumbele cha tatu ni kujenga masoko matatu
Aliwaomba wakazi wa Arusha wampe ushirikiano bila kujari u-CCM, u-CDM, u-TLP, u-CUF nk akasema hoja yake ya kwanza ni juu ya TAKUKU akimlenga Hosea kwani ameoneka kutokufit kwenye wazifa huu hasa baada ya juzi tena kumtetea Chenge kuwa yuko safi na siku moja baadae Waingereza kusema Chenge si Safi
Amekaribisha watanzania wenye mapenzi mema kupeleka taarifa/kero ili aweze kuzijengea hoja bungeni na alisema kati ya siku nne alizo kaa ofisi amegundua watanzani wana matati kuliko unavyo weza kufikilia, pia alisema anashangaa Arusha tuna kiwanda cha kutengeneza matairi lakini serikali inaangiza matairi china
Katika kuonyesha yuko kazi tayari alionyesha trekita 1 ambalo amepewa na marafiki zake kutoka UK na anapanga kuwapatia wamama ambao hawana uwezo ili likalime mashamba yao na kuna ambulance mbili (2) ziko bandarini, baada ya mkutano kulifanyika maadamano yasiyo rasmi kumsindikiza mbunge huyo nyumbani
Aliwaomba wakazi wa Arusha wampe ushirikiano bila kujari u-CCM, u-CDM, u-TLP, u-CUF nk akasema hoja yake ya kwanza ni juu ya TAKUKU akimlenga Hosea kwani ameoneka kutokufit kwenye wazifa huu hasa baada ya juzi tena kumtetea Chenge kuwa yuko safi na siku moja baadae Waingereza kusema Chenge si Safi
Amekaribisha watanzania wenye mapenzi mema kupeleka taarifa/kero ili aweze kuzijengea hoja bungeni na alisema kati ya siku nne alizo kaa ofisi amegundua watanzani wana matati kuliko unavyo weza kufikilia, pia alisema anashangaa Arusha tuna kiwanda cha kutengeneza matairi lakini serikali inaangiza matairi china
Katika kuonyesha yuko kazi tayari alionyesha trekita 1 ambalo amepewa na marafiki zake kutoka UK na anapanga kuwapatia wamama ambao hawana uwezo ili likalime mashamba yao na kuna ambulance mbili (2) ziko bandarini, baada ya mkutano kulifanyika maadamano yasiyo rasmi kumsindikiza mbunge huyo nyumbani