MBUNGE Catherine Ruge: “Siyo trilioni 1.5 tena, bali ni trilioni 2.4”

Fikiri japo kidogo. Unafikiri ukitukana ndiko kutaondoa ukweli uliopo? Kuna mgongano wa maslahi kama familia moja mtaingia kufanya kazi pamoja na hasa katika kazi hizi za kuteuana. Ndiyo maana ilipendekezwa madaraka ya rais yapunguzwe, mpaka leo hawataki tumalizie mchakato ule wa katiba mpya ulioligharimu taifa mabilioni. Tusiwe wajinga kiasi hiki cha kutetea hata vitu vinavyoliharibu taifa letu.

Sent using Jamii Forums mobile app
Who provokes? Kumbuka " when a provocative statement is provided an equivalent statement is provided "

Tuachane na hayo twende kwenye hoja!!

Kwamba Mtu akiwa Rais hawezi kumteua ndugu yake kwenye serikali hata kama ana sifa???? Hivi tunajua haki za raia wa Tanzania ama tunaongea tu kwasababu hatupendi kusikia baadhi ya vitu toka kwa mtu fulani kwa sababu zetu za kisiasa na chuki binafisi???? Yaani mtu unasema kwa akili zako timamu kuteuliwa kwa ndugu wa Rais ni kosa???? Hata kujiuliza ni ndugu wangapi aliowateua hadi sasa???? Hukuwahi hata kujiuliza kwann Clinton aliteuliwa kugombea urais Usa???? Hapo kwa akili zako hukuumiza kichwa?????

Tatizo li wapi hata mtoto wa Rais akiteuliwa serikalini kama anasifa????

Ok mnasema katiba imewekwa pending goja niulize hivi katiba hiyo nani initiator wake!?? CCM( kikwete ,, Chadema au watanzania??? ) if it's so now who is to be blamed so far??? Or given heartedful congrats???

Yote haya ni kujengeka kwa chuki lakn kwa mtu unayetumia kichwa vizuri huwezi ku doubt hata kidg na mara nyingi tuwe tunafikiri kama ingekuwa kwako ungefanyaje???



Sent using Jamii Forums mobile app
 
hazina imekuwa mali ya mtu na mpwa wake..
tunaomba CAG aruhusiwe kufanya auditing kwenye..
*ununuzi wa madege
*ujenzi wa uwanja wa chato
*SGR
*Stigler
*Hostel za UD
KUNA UFUJWAJI MKUBWA WA KODI ZETU awamu hii KWA KISINGIZIO CHA MIRADI

Sent using Jamii Forums mobile app
Tuwe wavumilivu.
IMG_20190202_153134.jpeg
IMG_20190202_154525.jpeg


Sent using Jamii Forums mobile app
 
"Vote 20 ya Ikulu-TISS ni kichaka cha serikali kupiga pesa kwani kwa mujibu wa sheria hata CAG haruhusiwi kukagua vote hiyo"

Sijui kama nimenukuu sawa sawa. Lakini kipande hicho ndio kimeniuma sana. Ni uchochoro haswa kwa serikali fisadi
Mkuu huo uhusiano wa ikulu na TISS ipo dunia nzima. Upo uhusiano wa white house na CIA, hapo bunge la marekani haliingii.

Upo uhusiano wa Kremlin na FSB, Bunge la Russia haliingilii manunuzi mengi tu yanayochukuliwa kuwa ni nyaraka za siri.

Kama ni upigaji huwezi kuuzuia dunia nzima, mazingira fulani ya kiusalama yanayafanya mabunge yasiwe na sauti katika baadhi ya manunuzi makubwa.
 
Kubwa la majizi na kubwa la waovu nchini limekwiba pesa chungu nzima za Watanzania. Hatari sana huyo dikteta na dhalimu.


Nimeskiliza kwa makini Madam hiyo account ya vote 20 imefunika mbaya
 
CAG alijibu sawa, alikuwa "smart" sababu yeye hakusema kwamba kuna pesa zimeibiwa au ubadhirifu bali pesa hizo hazina maeleze ya jinsi zilivyotumika. Angeemuuliza swali sahihi, kwamba ni kweli kuna mapesa hayako "accounted for"? nina hakika CAG angempa jibu sahihi bila woga wowote. They guy is very smart.!!


Ndio maana nakwambia yule bwana anajua sana kazi yake.
 
Mkuu huo uhusiano wa ikulu na TISS ipo dunia nzima. Upo uhusiano wa white house na CIA, hapo bunge la marekani haliingii.

Upo uhusiano wa Kremlin na FSB, Bunge la Russia haliingilii manunuzi mengi tu yanayochukuliwa kuwa ni nyaraka za siri.

Kama ni upigaji huwezi kuuzuia dunia nzima, mazingira fulani ya kiusalama yanayafanya mabunge yasiwe na sauti katika baadhi ya manunuzi makubwa.

Tunazungumza dunia au tunazungumzia kodi zetu kwahiyo kama huko ulikotaja wanapiga na sisi tuache wapige pesa yetu kisa wengine wanapiga. Hatuwezi kuiga mabaya bwana tutaiga mazuri tu. Japo hata hizo hoja zako hazina mashiko kwa jinsi wenzetu walivyo transparent kwenye mambo yao.
 
Bado namshangaa mkuu wa nchi na yule mzee wa bundi kwa utetezi wa ajabu sana kwamba walimuuliza CAG kama kuna wizi akasema hapana, huyu CAG anajua sana kazi yake.

Hata kama ni mimi, nimeshafanya kazi yangu nimewakabidgi ripoti, si mtumie vyombo na taasisi husika kubaini kama kweli kuna ubadhilifu?
Unaponiuliza hadharani inamaana nianze kutoa nyaraka na makabrasha mbele za watu hadharani kuelezea kilichopo kwenye ripoti?

Kwanini tusiamini kwamba serikali inajua nini kimepelekea huu uozo na inahusika nao kwa namna moja ama nyingine?
Kwa hiyo kabla ya hapo ulidhani zimeliwa na panya tu zikiwa kwenye kabati?
 
Huyu Amekuwa Mbunge miaka mingi Bunge analijua vizuri Hawamsumbui hasa hawa Mboga mboga wenzake waliowengi Keisha wakalia Kooni Hawafurukuti Zaidi ya kusifia huku Roho zikiwauma Balaaa! Ila ndiyo Hivyo tena Ni Chungu ila imezeni hivyo hivyo.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Tunazungumza dunia au tunazungumzia kodi zetu kwahiyo kama huko ulikotaja wanapiga na sisi tuache wapige pesa yetu kisa wengine wanapiga. Hatuwezi kuiga mabaya bwana tutaiga mazuri tu. Japo hata hizo hoja zako hazina mashiko kwa jinsi wenzetu walivyo transparent kwenye mambo yao.
Mkuu unaweza kuwaza kadri utakavyo lakini huo ndio ukweli.Yapo manunuzi ambayo rais anayatumia mamlaka yake na bunge haliwezi kuhoji. Usalama wa taifa tu ndio wanaokuwa na taarifa ya manunuzi hayo.

Nimekupa mifano ya mataifa makubwa ambayo marais wanaidhinisha manunuzi baada ya kupewa go ahead na wakurugenzi wa usalama wa taifa.

Kodi yako sio nongwa ya wewe au mbunge wako kuwa na mamlaka ya kuhoji kila kitu kinachofanyika. Wewe na wamarekani au waingereza nani anayelipa kodi kumzidi mwenzake, sisi tunaishi kwa misaada ambayo ni kodi za wazungu, wazungu hao hao wanao utaratibu wa baadhi ya manunuzi kufanywa na marais pasipo mabunge yao kuwa na sauti.

Panua ubongo ili uweze kuyajua mengi ya dunia hii.
 
bunge dhaifu ,upinzani dhaifu ,wananchi dhaifu(wasomi na wasio)...... serikali ya ccm inamoshindia humo kushika dola
 
Back
Top Bottom