Na matatizo ya kisaikolojia bado Yuko Bungeni??? Anaowawakilisha na wenyewe wana matatizo ya kisaikolojia.Mbunge wa Morogoro na meneja wa Diamond mheshimiwa Babu Tale amesema tangu afiwe na mkewe takribani mwaka mmoja uliopita amekuwa na msongo wa mawazo unaosababishwa na kumbukumbu za kifo hicho pamoja na jukumu la kulea watoto aliloachiwa na mkewe.
Aidha Babu Tale amewaomba wataalamu wa saikolojia nchini kujitokeza na kumsaidia kiushauri ili aweze kurejea katika hali ya kawaida.
CHANZO: UTV Habari.
Kwamba kaanza kuweweseka?Akiendelea kuongea ongea atasema ukweli juu ya kifo cha mkewe.
Nadhani Mkurugenzi aliyemtangaza ana matatizo ya kisaikolojia zaidi yake.Na matatizo ya kisaikolojia bado Yuko Bungeni??? Anaowawakilisha na wenyewe wana matatizo ya kisaikolojia.
Sent from my Infinix X5515 using JamiiForums mobile app
Muongo huyo, pengine ni masharti amepewa na kwinginekoNi jambo la kheri kuomba msaadana asidhihakiwe.
Depression inaua watu wengi kimyakimya(hususani wanaume)..
Kuna mahojiano nilimuona akisema mke wake alimkataza kuoa tena.Pengine yuko kwenye dilemma katika hilo..
Sent from my SM-A405FN using JamiiForums mobile app
Wakalimani wangekuwepo bilashakaAngepata counselling apoenda US
Ni jambo la kheri kuomba msaadana asidhihakiwe.
Depression inaua watu wengi kimyakimya(hususani wanaume)..
Kuna mahojiano nilimuona akisema mke wake alimkataza kuoa tena.Pengine yuko kwenye dilemma katika hilo..
Sent from my SM-A405FN using JamiiForums mobile app
Sijawahi kuwa na imani na Ma-Last born, huyu naye kama vile ndiye wa kwanza kufiwa. Kifo cha mkewe kimekuwa jambo la kutafutia huruma kwa watu.
Mbunge wa Morogoro na meneja wa Diamond mheshimiwa Babu Tale amesema tangu afiwe na mkewe takribani mwaka mmoja uliopita amekuwa na msongo wa mawazo unaosababishwa na kumbukumbu za kifo hicho pamoja na jukumu la kulea watoto aliloachiwa na mkewe.
Aidha Babu Tale amewaomba wataalamu wa saikolojia nchini kujitokeza na kumsaidia kiushauri ili aweze kurejea katika hali ya kawaida.
CHANZO: UTV Habari.
Na utakuta kuna madem wanampa mzigo ili kumfariji anapiga mbunye vizuri