Kwan mbunge si anapanga tu chumba self anaweka kitanda kwa ajili ya shughuli zakehii nayo ije huku watu wapunguze kuwa na wake za watu mahotelini... waende ktk magheto na magari kama zamani... heshima ya ndoa iwepo
Huwa hatutembei na vyeti vya ndoa, huyu awashitaki tu atawashinda.Jamani... mumeo alafu cheti cha ndoa hunaaaa, alafu ni mbunge... hahahahahah hii dunia hiii
But this is against privacy ya mtu, huna haki ya kujua niliye naye ni nani! Ngoja niliangalia mrengo wakisheria, let me do a bit of research on it!hata zanzibar kuna hili la vyeti vya ndoa kama wataka kulala ktk hotel zao na ni bibi na bwana...
Hata mjini sumbawanga kuna hotel yenye mashariti hayo!!ni ya dini,hata zanzibar kuna hili la vyeti vya ndoa kama wataka kulala ktk hotel zao na ni bibi na bwana...
Mmh. Inamaana kisa ni Mke na Mume basi kila wanapotembea cheti cha ndoa kiwe kwenye pochi Mkuu?Jamani... mumeo alafu cheti cha ndoa hunaaaa, alafu ni mbunge... hahahahahah hii dunia hiii
Hivi huko Znz ni hotel gani zinazokataa hiyo kitu?hata zanzibar kuna hili la vyeti vya ndoa kama wataka kulala ktk hotel zao na ni bibi na bwana...
Kuna ndoa zinatambulika kisheria bila kuwa na cheti.Jamani... mumeo alafu cheti cha ndoa hunaaaa, alafu ni mbunge... hahahahahah hii dunia hiii
kwel kabsaCheti cha ndoa huwa chakaa kabatini tu