Greatguy
Member
- Nov 22, 2016
- 5
- 0
Mbunge wa Viti maalumu (CCM), Aysharose Mattembe, kwa kushirikiana na Shirika la Umoja wa Mataifa la Idadi ya Watu (UNFPA), ameandaa kampeni kwa vijana mkoa wa Singida juu ya elimu ya afya ya uzazi, kutambua fursa, kuzifuata na upimaji wa bure wa magonjwa mbalimbali.
Kampeni hiyo ilizinduliwa jana 16/12 na Waziri wa Nchi, Ofisa ya Waziri Mkuu, Kazi, Vijana, Ajira na Wenye Ulemavu, Mhe. Jenister Mhagama katika ukumbi wa RC Mission, Singida mjini, ambapo Mhe. Aysharose alisema ni endelevu mpaka kieleweke.
Vijana zaidi ya 1,500 wanatarajiwa kunufaika na Kampeni hiyo kabambe ya kumwokoa kijana kutoka kwenye lindi la umasikini na fikra hasi.
Kampeni hiyo ilizinduliwa jana 16/12 na Waziri wa Nchi, Ofisa ya Waziri Mkuu, Kazi, Vijana, Ajira na Wenye Ulemavu, Mhe. Jenister Mhagama katika ukumbi wa RC Mission, Singida mjini, ambapo Mhe. Aysharose alisema ni endelevu mpaka kieleweke.
Vijana zaidi ya 1,500 wanatarajiwa kunufaika na Kampeni hiyo kabambe ya kumwokoa kijana kutoka kwenye lindi la umasikini na fikra hasi.