OKW BOBAN SUNZU
Platinum Member
- Aug 24, 2011
- 49,191
- 103,714
Mbunge Viti Maalum (CCM), Mwanaisha Ulenge, ameshauri iundwe taasisi huru itakayodhibiti utendaji wa Serikali. “ili tuweze kuidhibiti na kuisimamia Serikali, hatuoni haja ya kuwa na taasisi inayojitegemea ya kuisimamia, kufanya tahimini na kutunga mifumo ya ufuatiliaji nchini?”
My Take
Huyu mbunge anachekesha eeh?!! CCM huwa mnapata wapi hawa wabunge? Inakuwaje mnaweka mtu ambaye hata majukumu yake hayajui. Kama ni vyombo vya kiserikali vipo.
Ina maana hajui kama kuna CAG na PCCB? Hajui kama Wilaya zinasimamiwa na Mikoa na TAMISEMI? Hajui kama kuna regulatory authorities kama PPRA kwenye manunuzi ya umma?
Labda angesema wananchi washirikiane kuitoa CCM madarakani ningemuelewa.