Danp36
JF-Expert Member
- Jul 31, 2010
- 2,096
- 920
wanasema kiswahili kitumike wakat watoto wao wanasoma international na nje ya nchi. mshtuke nyie. amken
huyo wazr awe mfano wa kusomesha watoto wake shule za kiswahili.mbna watoto wao wote wanasoma english medium,tena inawezekana hata budget za bakita znaandaliwa ktwa kiingereza,pia makampun meng bongo ni ya kigeni na mabos wanataka ripot kwa kiingereza.KISWAHllI KITUMIKE KAMA LUGHA YA MAZUNGUMZO TU SI KATIKA MITAALA YA CHUO KIKUU.